Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Umeandika upumbavu nikwambie tu.
 
sasa mkuu ukilialia hapa haisaidii kitu,kama unaushahidi si uende polisi?
 
Sasa ndio atamjua Freeman ni nani!

cc: Mrangi
Aisee bwashee fikiria wewe umejinyima umepigika unafanya biashara unalipa kodi zote ana kuja mtu kama sabaya ana kuharibia kujinyima kwako miaka kibao ili angalau upate mafanikio kidogo tu!
Yeye ana kuja kudhulumu na kukutesa!
Aisee ninge jua kutengeneza mabomu kwa siku moja! Maisha magumu sana jamaani tuishi kama binaadamu na sio wanyama!
 
Riwaya ndefu with zero content. Ukiona mtu anapenda sana kitumia neno wanyonge, mara wazalendo, uwezekano mkubwa mtu huyo ni mwongo, mnafiki na laghai anayetaka kutumia maneno hayo kuficha uovu wake.

Tuhuma dhidi ya huyu Sabaya ni za muda mrefu, bahati mbaya hakupatikana mtu wa kumchukulia hatua, labda pengine watawala waliokuwepo waliowafurahia vipngpzi wasiotenda haki kama ambavyo wao walikuwa wanafanya.

Kama Sabaya amekuwa akitumia ofisi ya umma kufanya uharamia, aondolewe kwenye ofisi ya umma, afikishwe mahakamani. Huko ukweli utajulikana kufuatana na ushahidi na vielelezo vitakavyowasilishwa na wanaomtuhumu.
 
🙏🙏🙏
Umeandika upumbavu nikwambie tu.
🙏🙏🙏
 
utahangaika sana jua tu hufai watu wamekuchoka
 
🙏🙏🙏
Umeandika upumbavu nikwambie tu.
🙏🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…