Yanayojiri Azam VS El Mereikh

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Mechi hii si ya kuikosa ila naomba wazalendo wote tuitakie heri Azam na tuendelee kujuzana yanayojiri hapa

===========
Kikosi kilichowakilisha Azam FC

1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. SALUM ABUBAKAR
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE TCHETCHE
11. BRIAN MAJWEGA



Wafungaji

Kavumbagu(Azam)

John Bocco(Azam)

FULL TIME:Azam 2 El Mereikh 0
 
All the best wana rambaramba watanzania wote tupo nyuma yenu
 
Duh. Ni Domayo sio Dumayo. Unaharibu majina ya watu
 
Kampuni inaitwa Azam Media, station inaitwa Azam TV, channel inaitwa Azam TV 2, Kiwanja kinaitwa Azam Complex, Club inaitwa Azam FC na hapa nakunywa Azam Cola. Hawa jamaa kweli wamejipanga.
 
Kampuni inaitwa Azam Media, station inaitwa Azam TV, channel inaitwa Azam TV 2, Kiwanja kinaitwa Azam Complex, Club inaitwa Azam FC na hapa nakunywa Azam Cola. Hawa jamaa kweli wamejipanga.

Mkuu safi sana! Umekosa T-shirt tu hapo!
 
Kampuni inaitwa Azam Media, station inaitwa Azam TV, channel inaitwa Azam TV 2, Kiwanja kinaitwa Azam Complex, Club inaitwa Azam FC na hapa nakunywa Azam Cola. Hawa jamaa kweli wamejipanga.
...hawa jamaa wamebaka uchumi Wa bongo kwelikweli, na huko Rwanda wamembaka mpaka mpinzani wao Azania...
 
Kulikuwa na tetesi za Azam airline!
 
Azam wamepata goli, Kavumbagu. Hawa Warundi wanataka kupaisha vilabu vya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…