Mkuu Skype,
Si wewe pekee mwwenye maumivu ukiyafikiria hayo, ni kila karibu kila mtu mpenda mabadiliko wa nchi hii. Piga hesabu hivi, wabunge wote wa bunge la katiba na watumishi wengine muhimu kwa bunge hili wawe tu jumla ya watu 650. zidisha hiyo 650 x per day tsh 300,000/= utapata jibu kuwa tsh 195,000, 000/= zinatumika kwa siku moja Kisha jumlisha matumizi mengine ya siku kama umeme, maji, makaratasi na mengineyo. Bila shaka itapita zaidi ya milioni 200 kwa siku
Ukitaka upate presha sasa zidisha hiyo zaidi ya 200 mills kwa siku zilizokwishapita hatafu jumlisha na siku 70 zilikusudiwa. Utakuta ni zaidi tsh 22,400, 000, 000/=. Uuuuuuuwiiiiii.