Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

Mkuu, nakushukuru sana kwa taarifa hii. Tayari nilirekebisha jina lake maana nilikuwa nimeandika jinsi nilivyokuwa nalisikia kutoka kwa Mwenyekiti na mwenyekiti wa Kamati
 
Kanuni zote kuanzia za 32 hadi 43 zimepitishwa isipokuwa kanuni ya 37 na 38 ambazo maelezo yake tumeyatoa. Sasa Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni anapewa nafasi ya kueleza kazi waliyopewa kuhusu Nyongeza na Kanuni. Mwenyekiti anasema kuwa nyongeza ya kanuni imekamilika na Mwenyekiti anawahoji wabunge kama waendelee kujadili au la. Baadhi ya wabunge wanasema kuwa kikao kiahirishwe hadi Jumatatu. Wabunge wanaafiki suala hilona kikao kinaahirishwa hadi jumatatu ijayo
 
Nawashukuru sana wote walioshiriki kwenye mjadala huu na Mungu akitujaalia tukutane siku ya Jumatatu kwa ajili ya kumalizia viporo vya vilivyobaki na probably uchaguzi wa Mwenyekiti. Stay Connected
 
Kuna mjumbe anajiita daktari nani sijui... Yeye naona kakariri. Anasema "There is Always Next Time". Akimaanisha muda umepita sana watafanya kazi hata jumatatu. Nadhani huo msemo si wa kutumia kila sehemu.
 
Mwenyekiti anatoa ufafanuzi kuwa kila kilichojadiliwa kimepitishwa na kazi iliyobaki ni ya kuandaa final draft ya kanuni kwa ajili ya kupitishwa.
 
Pongezi za kipekee ziende kwa Mkuu Skype ​ambaye alikuwa nami sambamba kuwaletea updates za semina hii.
 
Asante sana mkuu. Tunakutarajia tena kukuona jimatatu mumu humu jamvini.
 
Pongezi za kipekee ziende kwa Mkuu Skype ​ambaye alikuwa nami sambamba kuwaletea updates za semina hii.

Pamoja sana mkuu bila kumsahau MaishaPesa na wengineo nisiowatambua, sasa ngoja nihamie majukwaa mengine kwa uchambuzi wa hoja za leo.
 
Last edited by a moderator:

Baaasi mkuu, usizidi kuniongezea presha, yani umenikumbusha mabilioni tuliyokua tunawalipa dowans, epa na madudu mengine yanayofanana na hayo. Aise uwe na siku njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…