Yanayojiri Bungeni Dodoma leo March 08, 2014

TBC hivi kwa nini hii hotuba inarudiwarudiwa imeshasababisha nikakosa session ya bunge. Wawekeeni hao wabunge ndani ya bunge. Mimi nimeshasikia Mara ya 7 sasa. Na iko hewani sasa badala ya session ya Bunge.

 

Attachments

  • image.jpg
    55.5 KB · Views: 158

^^
Wana maisha bora!! Uchungu kwa taifa utatoka wapi? Ni wepesi wa kusahau walikotoka
^^
 
Last edited by a moderator:
TBC hivi kwa nini hii hotuba inarudiwarudiwa imeshasababisha nikakosa session ya bunge. Wawekeeni hao wabunge ndani ya bunge. Mimi nimeshasikia Mara ya 7 sasa. Na iko hewani sasa badala ya session ya Bunge.


Hawa tbc wanaona hiyo hotuba kama ni ya maajabu kwao! Kumbe ni kawaida tu! Tbc ina watu punguani sana...
 
TBC hivi kwa nini hii hotuba inarudiwarudiwa imeshasababisha nikakosa session ya bunge. Wawekeeni hao wabunge ndani ya bunge. Mimi nimeshasikia Mara ya 7 sasa. Na iko hewani sasa badala ya session ya Bunge.


Labda tunakumbushia misimamo kimtindo, TBC tena...!
 
TBC hivi kwa nini hii hotuba inarudiwarudiwa imeshasababisha nikakosa session ya bunge. Wawekeeni hao wabunge ndani ya bunge. Mimi nimeshasikia Mara ya 7 sasa. Na iko hewani sasa badala ya session ya Bunge.

Mkuu, hapa ukumbini mambo bado hayajaanza. Kuwa mvumilivu mkuu
 
Wadau, taarifa nilizopata hivi punde ni kuwa Kile kikao cha Kamati ya Maridhiano bado kinaendelea. Wajumbe wote 28 wanaounda kamati hiyo bado wanaendelea kutafuta muafaka wa namna nzuri ya kupitisha vifungunvya 32 hadi 43. Vuteni subira na kila nikisikia au kuona jambo lolote nitawajuza
 

Poa Rafiki tujuze, sijui unaandikia chooni, take care tusije kosa habari.
 
[h=2]Bungeni Dodoma: CCM yasisitiza kura ya wazi na kukataa maamuzi ya theluthi mbili[/h]
Nipo ndani ya bunge now na ccm wamemaliza mkutano wao soon kwa kukataa katakata kura ya siri katika maamuzi yote na kutaka kura ya wazi. Aidha ccm pia wamekusudia leo hii kurudisha nyuma kwa kutengua kanuni ya upitishaji maamuzi ili iwe nusu ya wajunbe wa zanzibar na nusu ya watanganyika na kuifuta theluthi mbili iliyokubalika na kupitishwa.

Kamati aliyounda kificho ya maridhiano imeshindwa kukubaliana na hadi ninapotuma andiko hili bado kikao kinaendelea cha kamati ya maridhiano kujua cha kuganya kwani kikao huenda kikavunjika mapema leo.

Endeleeni kusubiri zaidi
 

Hilo bunge limenajisiwa na uwepo wa wanasiasa.

Bora livunjwe na hizo hela zikanunulie madawa na kutengeneza madawati.
 
Ilitangazwa na mwenyekiti wangeanza saa nne asubuhi mara leo zikaja breaking news eti wameahirisha mpaka saa tisa, muda umefika tunaambiwa bado kamati ya maridhiano, sasa hii itakwenda hadi saa kumi na mbili za jioni na wakija watasema tumechoka tutamalizia j3, haoo wanaenda zao kusain posho ya leo na kwenda kulaa usingizi mnono.
 
Hatukutegemea hiyo Kamati ya maridhiano ifikie mwafaka mapema hivyo. Hata hivyo wajumbe wake hawakukaa kimaridhiano, wengi ni wale wanaojulikana kwa Shari! Hili la theluthi mbili sijui maelezo yake ni yapi kwa sababu sheria ya kura za maoni na mabadiliko ya Katiba nilifikiria linaelekeza hivyo?
 
Duuuh kwenye mambo ya msingi watu wanaweka itikadi
 
naona TBC hawana mpango wa kutuletea matangazo live wanatuonyesha mambo ya ajabu ajabu!
 
Poa Rafiki tujuze, sijui unaandikia chooni, take care tusije kosa habari.
Hapana Mkuu, nipo huru sana kwa maanamsuala hili la Katiba ni la wananchi wote. Lazima wananchi wapate taarifa sahihi na kwa wakati
 
naona TBC hawana mpango wa kutuletea matangazo live wanatuonyesha mambo ya ajabu ajabu!
Wataleta mkuu. Ila kwa sasa hakuna jipya. Sanasana watawaonesha sura za wabunge tu ambao mnawajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…