Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ngoja tupunguze stress za vyuma kidogo maana hali tete kila siku wikiendi hii mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...
Leo diamond kaamua kujibu
Haitoshi hamisa Leo bubu kaamua kaamua kusema
Daah!hongera diamond and your family mnajua kucheza na akili zetu watanzania
Na hizi stress za Magu na hali ngumu acha umbea ututawale ili tujifariji kimaisha!
Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...
Leo diamond kaamua kujibu
Haitoshi hamisa Leo bubu kaamua kaamua kusema
Daah!hongera diamond and your family mnajua kucheza na akili zetu watanzania
Na hizi stress za Magu na hali ngumu acha umbea ututawale ili tujifariji kimaisha!