Njia panda ya ulayaInstagram ndiyo wapi huko?
Njia panda ulaya napajua ni JK INTERNAL AIRPORTNjia panda ya ulaya
Akitoka tununu anakuja Lynn. Halafu ulikaona kale katoto walikosemaga mdogo ake tunda, naye atafata baada ya Irene.Circle of life yaani mjini kuna vituko
Akitoka tununu atakuja tanana pia!
Mganda ndio aliwaweza. Isingekua drama za diamond mganda wangepambana chezea iddi amini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawezi oa diamond na mke wa kumuoa yapaswa ajipange haswaa asiwe mpole,awe jeuri kichaa kushinda wao
Kama huyu alivyoshauri[emoji116] View attachment 792066
Sana tu yaani ile familia ni kiboko [emoji2] [emoji2] [emoji2] diamond hatokaa aoe akisikiliza ndugu zake!Akitoka tununu anakuja Lynn. Halafu ulikaona kale katoto walikosemaga mdogo ake tunda, naye atafata baada ya Irene.
Yani maisha haya ukiwa upenuni usimcheke aliyeko gizani
ni mji mkuu wa nchi ya wambea dunianiInstagram ndiyo wapi huko?
There u r...!yule kiboko yao ndo maana aliweza kuzaa two kids mpk amechemka yeye basi hakuna wa kuwaweza!Mganda ndio aliwaweza. Isingekua drama za diamond mganda wangepambana chezea iddi amini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sepenga kaona ajipendekeze tu ili awe nao vizuri.
Shida ya familia hiyo ni Kardashian wannabe. Ndio maana drama kuanzia mama mpaka watoto.Sana tu yaani ile familia ni kiboko [emoji2] [emoji2] [emoji2] diamond hatokaa aoe akisikiliza ndugu zake!
Atapata watoto wa nje tu!
Halafu walichonichosha ni mwezi wa ramadhani wanapretend kufunga jamani
Mwezi mtukufu huu tena ni waislamu hata kama kick imezidi...!!
Ila ile familia sio ya kuolewa hata ndotoni!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sawa sawa yaani hawa wanatamani life la kina KardashiansShida ya familia hiyo ni Kardashian wannabe. Ndio maana drama kuanzia mama mpaka watoto.
Lakini drama za kina Kris Jenner sio sawa na uchafu wa dangote clan.