Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Wanawake wa kibongo wanavyopenda fursa wako tayari kuolewa katika hii familia.kiukweli ukiolewa hapo utakuwa mtumwa wa fikra na utafanya mambo against your will kufurahisha wengine
 
Wanawake wa kibongo wanavyopenda fursa wako tayari kuolewa katika hii familia.kiukweli ukiolewa hapo utakuwa mtumwa wa fikra na utafanya mambo against your will kufurahisha wengine
Hilo ndo tatizo letu wao wanataka umaarufu tu

Wenyewe wanakuambia 'bora Julia kwenye benzi kuliko kicheko juu ya baiskeli'
 
ila hamisa kaua mabaya maana matusi aliyomtukana wifi na mkwewe sio ya nchi hii na ndoa hakuna hapo
eti alitaka awafulie chupi zao hahahahahah
 
familia nyepesi sana kuishi iyo
atakaeolewa hapo atumie nokia ya tochi tu na ajiweke mbali na mashoga full stop
[emoji2] [emoji2] [emoji2] humo ndani kunakalika sasa!
Mama saa kumi na moja alfajir anagonga hodi chumbani kwa mwanawe atoke waongee,akuache weye kitandani!
 
hahaha haka katoto
Heheeeee KARMA is a what.

The puchi so good huku umchafu. Tununu apambane tu na hali yake dunia duara jana alikua mwenzie leo yeye.
kapuuzi sana kanapenda kuropoka ndo maana hiyo familia imemchaaamba mama anasema ni mchafu koge, wifi anasema hili na lile wamemsifia zari na wema misa ana damu ya jini maiti ha ha

pale mswahili anapokutana na mswahili mwenzie ni kasheshe mama dai mara amkate mitama mara amuite mbu ha ha ha sasa huyu msichana kwani ni lazima awe na dai? ila nadhani mwanamume mwenye akili tiamu hawezi kuwa na hamisa ni kahaba OG kama wale wa pale kona na nk
 
ndo ki
ila hamisa kaua mabaya maana matusi aliyomtukana wifi na mkwewe sio ya nchi hii na ndoa hakuna hapo
eti alitaka awafulie chupi zao hahahahahah
lichomfikisha hapa mpaka yule mama akamkata mitama alishawahi kumuita shilawadu na ndo maana mama dai kaapa huyu malaya akikanyaga kwake ni kipigo tu ha ha mdomo umemponza akome
 
duuuuh wanawake katika ubora wenu
 
ila hamisa kaua mabaya maana matusi aliyomtukana wifi na mkwewe sio ya nchi hii na ndoa hakuna hapo
eti alitaka awafulie chupi zao hahahahahah
Kachoka huyo ndo maana!
Jana ESMA kamdhalilisha mnoo!kafanya interview na dizzim!!
Kaona kama mbwai iwe mbwai hii familia sio ya kuivalia chupi pembeni !

Nyoko sana hawa
 
Kachoka huyo ndo maana!
Jana ESMA kamdhalilisha mnoo!kafanya interview na dizzim!!
Kaona kama mbwai iwe mbwai hii familia sio ya kuivalia chupi pembeni !

Nyoko sana hawa
aiseeee basi jamaa atawatembezea dudu mabinti mpaka kufa kwake
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] aiseeeh Hamisa malaya, kahaba,mswahili sawa...

Wema kosa lake nini?

Jokate?Penny?Zari?

Wote hao wabaya?
ndo ki

lichomfikisha hapa mpaka yule mama akamkata mitama alishawahi kumuita shilawadu na ndo maana mama dai kaapa huyu malaya akikanyaga kwake ni kipigo tu ha ha mdomo umemponza akome
Pole sanaa...punguza tu chuki Mulhat maisha mafupi!
Tatizo sio hamisa wengi kimewauma kuzaa na diamond ila mtoto ni riziki

Mimi simchukii hamisa wala Zari namuonea huruma yoyote atakeolewa kwenye ile familia hata uwe na moyo wa chuma utayeyuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…