Kuna muda unatakiwa kuondoa stress ili siku ipite salama....ukisema ufatilie mambo Serilali ya JPM au ya CCM na CHADEMA kila siku unaweza ukapata vidonda vya tumbo bila sababu....Ngoja tupunguze stress za vyuma kidogo maana hali tete kila siku wikiendi hii mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...
nimekusoma huo ujumbe hapo chiniUkiwa na binti usijekubali aolewe na mwanaume aliyelelewa na mama peke yake
Mark my words! 95%wabinafs!
Hata zari alimsemaga kua ni mchafu. Akija bongo anakuta choo kichafu, chumba kichafu, kitanda hakijatandikwa vizuri na akamuuliza kama hivi tu hufanyii usafi what about the puchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaha haka katoto
kapuuzi sana kana-enda kuropoka ndo maana hiyo familia imemchaaamba mama anasema ni mchafu koge wifi anasema hili na lile wamemsifia zari na wema misa ana damu ya jini maiti ha ha
pale mswahili anapokutana na mswahili mwenzie ni kasheshe mama dai mara amkate mitama mara amuite mbu ha ha ha sasa huyu msichana kwani ni lazima awe na dai? ila nadhani mwanamume mwenye akili tiamu hawezi kuwa na hamisa ni kahaba OG kama wale wa pale kona na nk
For sure sasa hivi nimekaa mbali na siasa za bongo zinachosha tuKuna muda unatakiwa kuondoa stress ili siku ipite salama....ukisema ufatilie mambo Serilali ya JPM au ya CCM na CHADEMA kila siku unaweza ukapata vidonda vya tumbo bila sababu....
Drama za dangote clan ni kama mma. Hapo shilawadu wana kiu na maji hamna.Soudy brown huko alipo roho inamuuma kweli kuukosa huu ubuyu[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
haha pale bi mkubwa anapomchamba bi mdogo hihihi misa amekuwa mdogo hawa wamanyema ni hatareeHata zari alimsemaga kua ni mchafu. Akija bongo anakuta choo kichafu, chumba kichafu, kitanda hakijatandikwa vizuri na akamuuliza kama hivi tu hufanyii usafi what about the puchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ina maana zari na hamisa walikua wanajuana kama wanalala wote kwa jamaa.....huyu akienda kwa madiba hamisa anaenda madaleHata zari alimsemaga kua ni mchafu. Akija bongo anakuta choo kichafu, chumba kichafu, kitanda hakijatandikwa vizuri na akamuuliza kama hivi tu hufanyii usafi what about the puchi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zari aligundua baada ya hamisa kuacha vitu zake kama hereni. Hamisa si alikua anajua kama zari yupo na diamond maana ilikua ni couple maarufuina maana zari na hamisa walikua wanajuana kama wanalala wote kwa jamaa.....huyu akienda kwa madiba hamisa anaenda madale
Kwa sisi wataalam wa kusoma mazingira itakuwa tecno K.7Kumbe mleta mada unatumia Tekino
tehNdio ndo uwezo wangu!