Hamisa angekua karibu ndo ningemtia kibao. Anakubalije kufanywa fimbo ya kuchapia madem wa mondi sasaJilan yangu mbona unaongea kwa hisia kali sana.....!!!!! mondi angekuwa karibu yako kofi la maana linge usika shavun kwake naona
Ila angekaa kimya ingependeza zaid na ingelikuwa tiba kwa afya yakeHamisa angekua karibu ndo ningemtia kibao. Anakubalije kufanywa fimbo ya kuchapia madem wa mondi sasa
Leo bubu kasema Leo!inachosha ujue yanakufika kooni!
mambo niiiiiiiiiiiii motroooooo
Umeona eehh!kachoka na yeye kazaliwa,ila ESMA Jana amekosea mnoo kiukweli kaah!na diamond Leo kamjibu Dada ake maana kachoshwaNasimama na hamisa
Hii familia hapana aisee ila nimependa hamisa alivyomjibu diamond amechoka na yeye ana moyo
Watasema wametukanwa leoUmeona eehh!kachoka na yeye kazaliwa,ila ESMA Jana amekosea mnoo kiukweli kaah!na diamond Leo kamjibu Dada ake maana kachoshwa
Anajichekesha kutafuta huruma aolewe yeye sasa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23]bora alivyoongea esma amezidi mnoo!Esma kapewa yake anajifanya kucheka cheka unavumilia mwisho wa siku unachoka tu
Ndo kilichobaki hikooo!Reality TV inahitajika hapo Wasafi TV haraka iwezekanavyo,
Watanzania mmewekeza kwenye umbea sasa leo Chibu acha aingize pesa kupitia umbea mnaopenda aweke live Wasafi TV wapate matangazo ya biashara mzigo uingie kwenye bank account wakati nyie mtabaki kwenye Instagram account mkichambana team kwa team.
Wajifunze kwa Kardashians.
Fanya haraka basiTwende wote[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
hahaha noma sana ule mstari " mbale ana sema " ana weza kuhifadhi fuvu la mtu ndani ya kabatiFid q aliimba kwenye bongo hiphop
"mbaya zaidi ni kuwa na ndugu halafu kichwa maji"
Jibu zuri sanaNjia panda ya ulaya
akifika hapo njia panda ya ulaya mwambie apitie hapa sun site apate na ulabuNjia panda ya ulaya
akifika hapo njia panda ya ulaya mwambie apitie hapa sun site apate na ulabuNjia panda ya ulaya