Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jogiMvua ni kitanzi cha Mabasi ya mwendokasi. Yanajinyonga.
BL bar Kinyerezi watu wanakunywa bia balaaKama kawaida jangwani maji yanapita juu ya daraja na barabara imejifunga.
Bonde la Kinondoni mkwajuni napo maji yanapita juu ya daraja, barabara imejifunga.
Bado sina picha kwa sasa.
Tuambie kinachoendelea kwenye upeo wa macho yako.
Mwenye masikio na asikie ulichokisema katikati ya ujumbe wako.jogi
Unataka kuniambia kuwa tumefunga mipaka kwa lazima?
Maana viongozi wetu wanasisitiza kuwa hawatafunga mipaka, sasa Mungu anawaonyesha kuwa yeye ni mkuu kuliko kitu chochote kile, kwa kutufungia mpaka wa Magomeni/Faya kwa lazima!
Mfano unatakiwa kuwa relevant, kama upo relevant unakuwa ni kutoka kwa punguaniYesu alinena kwa mifano ili wajinga wasimwelewe.
Nasikiaga dar es saalam nzima ni mabondeni. We mkuu upo dar es saalam ipiWatu wa mabondeni huko Mburahati, Kigogo, Mwananyamala, Buguruni na Sinza tupeni mrejesho wa mvua ya leo.
Sinza bar zimefunguliwa?
TabataNasikiaga dar es saalam nzima ni mabondeni. We mkuu upo dar es saalam ipi