Dar slums kama kawaida haijawahi kuniangusha linapokuja suala zima la miundombinu mibovu.
[emoji23][emoji23][emoji1690][emoji1690][emoji119][emoji119]Kwa niaba ya mabaharia wa hapa katavi tunatanguliza shukrani
Mkuu kumbe Dar huijui vizuri. Kuna sehemu Buguruni kuna segemu bia tatu aina ya safari kubwa buku 5, totoz buku kukakua bure. Nyama pande la kufa mtu buku 2.Mkuu hapo Buguruni kuna eneo gani la kula bata,
Ni kweli mkuu sipafahamu vyema, si unajua nimetoka kolo mi jei hivi majuzi tu, tupeane maujanja mkuu, na mimi niwe wa mjini mjini kama nyie wataalam.Mkuu kumbe Dar huijui vizuri.
Kuna sehemu Buguruni kuna segemu bia tatu aina ya safari buku 5, totoz buku kukakua bure. Nyama pande la kufa mtu buku 2.
Ila usije ukaenda seheme inaitwa "Great park " sheitwaan ameweka makazi ya kudumu hapo.
Ila usije ukaenda seheme inaitwa "Great park " sheitwaan ameweka makazi ya kudumu hapo.
Kwaiyo mzee wa hall five ile mitaa ya maki juice pale sinza sana mitaa ya kangoroo ambio sikuhizi haki happen kama zamani.
Ntakuwepo apo wiki ijayo ntapoleta ng'ombe dar es saalam.Vile vitu ambavyo wanawake wanavifanya kwa siri sana, hapo vinafanywa nje nje
NEMC wamebung'aa tuWatu wa mbagala wanacheka tu. Pamoja na slums zao bado mafuriko hayajawatandika. Ila pale mkwajuni ni nani anayeweka kifusi maana anayabana maji kujitanua. Poleni sana watu wa Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar slums kama kawaida haijawahi kuniangusha linapokuja suala zima la miundombinu mibovu.
Mh...Maintain social distanceMkuu kumbe Dar huijui vizuri.
Kuna sehemu Buguruni kuna segemu bia tatu aina ya safari kubwa buku 5, totoz buku kukakua bure. Nyama pande la kufa mtu buku 2.
Aish manula anafahamu ubora wa jamaaNgoja tumuulize Manula atuabie ubora wa huyo jamaa
Raha ya stayhome uwe umeoa juzi juzi au mke awe ameenda kusalimia kwao Katavi halafu daraja limechukuliwa na maji ilhali wewe uko zako Tabata Mawenzi kwa mchepuko wa kinyamwezi.
Mvua inasaidia hasa katika swala la lock down /kizuizi chakutoka majumbani kwa wakati huuKama kawaida jangwani maji yanapita juu ya daraja na barabara imejifunga.
Bonde la Kinondoni mkwajuni napo maji yanapita juu ya daraja, barabara imejifunga.
Bado sina picha kwa sasa.
Tuambie kinachoendelea kwenye upeo wa macho yako.
Tabata siku hizi ina wapenda starehe sana kama sinza zamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dar slumspoleni wana dar slums
Temeke kwa azizi ally ...Hali ni Tete watu hawatoki nje machemba yamefunguliwaKuna kinyerezi, makongo,wazo,Goba,Gongo la Mboto Masaki, Oyster bay, Mbagala, buza,kimara,kigamboni,Upanga, kibamba kote kupo safi ila maeneo ya. Mbezi beach,Mbweni, sinza, buguruni, kinondoni, mwananyamala, Msasani, Ulongoni, kigogo na mburahati huko hati ni tete
Sent using Jamii Forums mobile app