Elections 2010 Yanayojiri kwenye kampeni za CCM Mwanza

Elections 2010 Yanayojiri kwenye kampeni za CCM Mwanza

Kidume kipo fit naona wakwere wameshamtengeneza vyema kwa mapambano!
 
Mwaka huu bei ya pamba nzuri.

Watoto . . tumetunga sheria kuwasaidia. walemavu pia. albino tumechukua hatua
 
Aliahidi kichezo. Tulikjuwa nafasi ya 172 sasa tuko 112 kuna wakati tulifika 86.

Netball atawaletea kocha toka UK
 
Wasanii wanadhulumiuwa haki yao.

Sasa wamepewa mastering studio ya 50 Million na kuna Mtasha atawafundisha for 2 years. Kawalipia na kodi 7 Million.

Mtaalamu wa UDSM kalipwa 20 M ili awafanyie reserach waweze kutengeneza pesa hasa katika distribution
 
Anajivunia kununua mastering machine aliyonunua kwa mil 50 na kawa kodishia ofisi mil 7...
 
Sekta ya Umma mishahara imepanda toka 65,000 hadi 135,000 this year

Sekta binafsi, mabaraza ya kisekta yameundwa
 
Anasema kwa upande wa barabara ukitoka saa 12 asubuhi, DSM unafika saa 12 jioni.

Pia anasema ajira zimepatikana 1.3 M

hivi haya anamueleza Kipofu? Aaah! Nimegundua hajawahi kusafiri kwa barabara na wala haoni haja ya kuwauliza wasafiri kabla ya kubwa.....!!!
 
Anaelezea TUCTA kuwa mshahara walioomba hawana uwezo wa kuwalipa. katoa mifano ya ajira kwa matajiri mbalimbali wanaoajiri
 
Anadai TUCTA wamepindua maneno kuwa yeye hataki kura za wafanyakazi
 
Anabash tucta, hakutukanae hakuchagulii tusi haya ndio maneno yake
 
Back
Top Bottom