Yanayojiri kwenye Sakata la Mwalimu kumchapa kikatili Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wilayani Kyerwa, Kagera

Yanayojiri kwenye Sakata la Mwalimu kumchapa kikatili Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Wilayani Kyerwa, Kagera

Ningekuwa mzazi wa huyo mtoto ningeenda shule nimkamate mwalimu nimchape kama anavyomchapa huyo mtoto, tena ningemchapa mbele ya walimu wenzake. Ningemchapa mpaka ajikojolee.
Mimi ningemng'oa kichwa alafu ningechemsha supu hapo hapo shuleni kumbaf sana.
 
Baadhi ya walimu ni kama kenge ,hawasikii hadi Sheria iwagaragaze. Serikali ilishaelekeza namna ya kutoa adhabu lakini wao wameshupaza akili zao ni kutandika tu wanafunzi bila utaratibu. Wacha wapate wanachokistahili
 
shule za mikoani zina viboko wale waliosoma miaka ya nyuma kabla internet kuingia mtakuwa mnajua
Dah kipindi nipo primary miaka ya 2000s niliwahi kupigwa stick na mwalimu mmoja hivi bonge yani alifanya kukusanya mzigo wa fimbo na kiti akakaa kabisa akaanza kushusha dose stick kama zaidi ya 50 kisa sikufika shule siku mbili nilikuwa natoka home fresh naishia mtaa kwenye mishe za games n.k.

Siku hiyo hiyo aliponichapa tu niligoma kurudi ile shule bi mkubwa akanihamisha baada ya kukaa home miazi kadhaa.
 
Inaitwa shule ya msingi Mbokoo aka stiki
Sijawahi ona mwanafunzi ama mtoto akichapwa unyayoniii
Watoto wanapigwa mpaka kufa mkuu
Ila Gwajima anasubiri video clip tu ndio wachukue hatua

Kuna watoto wanapigwa haswa Sasa badala ya kufuatilia nchi nzima
Mawaziri na police wanakimbilia tukio la video

Tunataka watoto walindwe kwa hawa watu wasiokuwa na huruma huku sisi wazazi tukidhani wako salama
 
Kuna hili la Mara nalo si la kunyamazia
 
Pongezi kwa mwalimu aliechukizwa na tendo hili na kuamua kulirekodi na kulirusha jamii ione
Naye kaenda na maji.

Rejea clip ya Chalamila kuhusu tukio hilo.

Waliosimamiswa kazi jumla ni walimu watano.

Wanaoonekane kwenye ile video ya uchapaji viboko ni walimu watatu.

Sasa hili sekeseke limekuja kuzoa watano, ina maana sura mbili zilikuwemo lakini hazikuonekana akiwemo aliyerekodi, labda awe alirekodia nje kupitia upenyo wa dirisha, jambo ambalo ni gumu sana.
 
Sangu nimepiga Advance kule Soweto nilipaona pana dogo mmoja mtukutu Kambasonic wa mtaani alikua anapaongelea sana hapo na wakija Club Mount Livingstone akipiga mkwara Tura yeyote anamwambia atamvizia Soweto...Sangu ilikua na watu sana nimepita pale enzi za Mwalimu Bukuku Mtaalamu wa Uchumi..baada ya Mwalimu Mwakyulu Marehemu...RIP
Zamani nlikuwa mtukutu sana mkuu

Na watu wengi walijuwa kwenye maisha sitavuka [emoji1]
Sangu naona waliamua kunifukuza
Kabisa,alafu enzi hizo sangu kuna wababe sana form 1 njuka wakianza shule mnakuja tembelewa na wanafunzi wazawa wa pale,unaporwa madaftari,begi,nk ahh mm huo ujinga sikuutaka kabisa
Wakina mponjoli tena
Pale soweto ilikuwa to much aise

Ova
 
Ninalea mtoto mtukutu mno wa ndugu yangu, mama yake ametoweka mwaka karibu wa nne hatujui alipo. Pamoja na utukutu wa mtoto sijawahi hata kufikiria kumpa adhabu ya kikatili namna hiyo. Huwa sielewi watu wanaofanya ukatili kwa watoto wanafikiria nini vichwani mwao
Kupiga siyo kufundisha kuna kiwango fulani ukipiga mtoto ni kama una muabuse,mtoto ni kumfundisha kwa vitendo hata adhabu ukimpa unampa zile za kumjenga,huku una mnamuonesha upendo

Ova
 
MHESHIMIWA WAZIRI NA MKUU WA MKOA WA KAGERA, HUKUMU MTAKAYOTOA IWAHUSU NA HAO WALIOKUWA WANAKENUA MENO NA KUCHEKA HAPO PEMBENI.
20230127_192823.jpg
 
Back
Top Bottom