University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
ugomvi wa kweli huuMI NIKO KATIKA UZINDUZI WA KINGMUSIC HAPA
inaruka live kupitia kiba tv.Ila imedorora kweli
Ina maana hawa watu wote hawajui chochote kuhusu kingsMusic leo....Msanii Diamond Platnumz ambaye anasheherekea siku ya kuzaliwa kwake Uko kwao Tandale.Mambo yamekuwa si mambo Wageni walikwa mbalimbali wamealikwa ikiwemo
Haji manara
Vanesa Mdee
Reginald Mengi
Eric Shigongo
Ghalib Said Mohamed
Nancy Sumary
Le Mutuz you know
Na wengineo wengi makampuni binafsi pamoja na Serikali wamehudhuria Sherehe hiyo. Na ambapo Baadhi ya vitu ambavyo amehaidi Daimondd Platnumz vimeanza kufanyiwa kazi ikiwemo pikipiki na vinginevyo.
Kwa wale waliopo karibu na WasafiMedia watashuhudia live. Kuanzia sasa 3:10 Masaa ya Afirka Mashariki. View attachment 887440View attachment 887441View attachment 887442View attachment 887443View attachment 887444
Kwani wewe hupendi kula?Watu wanavopenda kula has a wazaramo ona walivojaa laa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Watu wanavopenda kula has a wazaramo ona walivojaa laa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Watu wanavopenda kula has a wazaramo ona walivojaa laa!
Nasubiri akujibu halafu mimi ndo ninunue ugomvi hawezi kutudhalilisha wazaramo namna hiyoKwani wewe hupendi kula?
Huyu kaka anasikitisha jamaniWoyooooo chiiidididi benziiiView attachment 887573