Yanayojiri kwenye siku ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

Yanayojiri kwenye siku ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

Wacha kijana aendelee kufanikiwa kajitoa sana
[emoji15] uzi una viewer 863 reply 21
Hata ongera ya kinafki inatosh kijana kajitahid sana
 
Ju kivipi.??? Kwa sababu kaowa mombasa nakupenda vile vitu vya kimombasa?? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata afurukute vipi, bado King KIBAKULI atabaki kuwa juu tu!
 
This is how we do..... Mbangala inafuata
 
hayo masaa ni yapi maana wabongo huwa hatujui kutamka masaa ni saa 3 ya saa 09:00PM au ni saa 03:00 Pm?
 
Msanii Diamond Platnumz ambaye anasheherekea siku ya kuzaliwa kwake Uko kwao Tandale.Mambo yamekuwa si mambo Wageni walikwa mbalimbali wamealikwa ikiwemo
Haji manara
Vanesa Mdee
Reginald Mengi
Eric Shigongo
Ghalib Said Mohamed
Nancy Sumary
Le Mutuz you know
Na wengineo wengi makampuni binafsi pamoja na Serikali wamehudhuria Sherehe hiyo. Na ambapo Baadhi ya vitu ambavyo amehaidi Daimondd Platnumz vimeanza kufanyiwa kazi ikiwemo pikipiki na vinginevyo.
Kwa wale waliopo karibu na WasafiMedia watashuhudia live. Kuanzia sasa 3:10 Masaa ya Afirka Mashariki. View attachment 887440View attachment 887441View attachment 887442View attachment 887443View attachment 887444
Kuna watu huwezi kuwaona humu,sasa ndo ingekua uzi wa Diamond kamtukana Mobeto/Zari ungewaona na shingo zao kama nguchiro "Huyu anawazalilisha sana wanawake"
kila binadamu ana mapungufu yake,but anapofanya vizuri mpeni hata pongezi za kinafiki tu inatosha sio mnasubiri hadi akosee ndo muanze kuponda kunguni nyie!!
 
Basha wake GSM ndio katoa misaada kupitia domo..ndio maana waligombana na Dimpoz mpaka kuwekewa sumu....maana wote wanaukaribu na Huyo firauni
 
Basha wake GSM ndio katoa misaada kupitia domo..ndio maana waligombana na Dimpoz mpaka kuwekewa sumu....maana wote wanaukaribu na Huyo firauni
Hatar sana,kwa hiyo unamaanisha kuwa kuna mtu anapumuliwa?
 
[emoji817]
Kuna watu huwezi kuwaona humu,sasa ndo ingekua uzi wa Diamond kamtukana Mobeto/Zari ungewaona na shingo zao kama nguchiro "Huyu anawazalilisha sana wanawake"
kila binadamu ana mapungufu yake,but anapofanya vizuri mpeni hata pongezi za kinafiki tu inatosha sio mnasubiri hadi akosee ndo muanze kuponda kunguni nyie!!
 
X wake naye yumo
42326703_2137189869678000_4379994297718349561_n.jpg
 
Back
Top Bottom