Yanayojiri kwenye siku ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

Yanayojiri kwenye siku ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

Mange akili yake anaijua mwenyewe
Screenshot_20181006-130040.jpg
 
@lukambaofficial hilo gari ulilopewa and baba dula makabila tutakweaga wote ole uninyime lift.
42655460_521724094935955_4751089000190396882_n.jpg
 
Msanii Nyota wa Bongofleva Naseeb Abdul a.k.a Iiamond Platnumz akimsikiliza mmoja wa akina Mama ambaye ni mlemavu Evodia Nchimbi mkazi wa Mburahati alipokuwa akimshukuru huku akitoa machozi na kutoamini kwa kile kilichotokea.

Mama huyu alipewa zawadi ya Bajaji ili aweze kujikimu kimaisha na kuisaidia familia yake. Mama huyo mkazi wa Tandale amemshukuru Diamond kwa kumpa zawadi hiyo kwani hakutegemea na kwamba agalau sasa ataweza kuwa na ahuweni ya maisha.

Hongera sana Diamond Platnumz umefanya jambo kubwa katika jamii yako na Mungu atakuongezea pale palipo pungua.
FB_IMG_1538858215256.jpeg
 
Hiyo hereni sasa ndo imeharibu context ya bandiko
 
Back
Top Bottom