Uchaguzi 2020 Yanayojiri mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, John Pombe Magufuli

Uchaguzi 2020 Yanayojiri mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kupitia CCM, John Pombe Magufuli

Hivi wana CCM huwa mnamdanganya nani? hebu waacheni watoto wetu wasome, kitendo cha kufunga shule zote za secondary na zile za primary - watoto na wafanyakazi wote wa umma ati waje kujaza uwanja ni mambo ya kitoto.

Jibu la haya yote linakuja....! msimdanganye mgombea wenu, mwambieni ukweli kwamba amewakosea watanzania kabisa - kawawekea utamaduni si wa kwao kwa hivyo wanakwenda kumwadhibu hiyo kesho kutwa.
 
Mbeligiji kabanwa mbavu tokea mwanzo wa game Hadi dakika za mwisho

JPM muonee huruma mwenzio, hata kama ana uraia Pacha Lakini bado ni damu yetu, legeza kamba kidogo apumue
 
Mbeligiji kabanwa mbavu tokea mwanzo wa game Hadi dakika za mwisho

JPM muonee huruma mwenzio, hata kama ana uraia Pacha Lakini bado ni damu yetu, legeza kamba kidogo apumue
Mwambie huyo wako wakutane Mtwara
 
Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishania!
Jibu swali kwanza Nani kaiua? Ndo tuone Kama kunamantik yakufanya huo utopolo wa leo.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Lumumba Chukueni hatua

Chagua Tundu Lisu

28/10/2020

Kura kwa Lisu

Anavigezo vyote vya uingozi
Screenshot_20201023-074954.jpg
Screenshot_20201023-075143.jpg
Screenshot_20201023-075118.jpg
Screenshot_20201023-075055.jpg
Screenshot_20201023-075039.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Maccm yakijitahidi mapema kabla ya mkutano kujaza uwanja .
2598997_IMG_20201023_140521.jpg
 

Attachments

  • IMG_20201023_140521.jpg
    IMG_20201023_140521.jpg
    81.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201023-125626.png
    Screenshot_20201023-125626.png
    87.3 KB · Views: 2
Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishwal

Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishania!
Walio ua hiyo reli na wanaozindua wanahusiana. Huwezi kuvitenganisha ni kama pande mbili za Shilingi.
 
Utakuwa unaishi Ubelgiji wewe maana hiyo reli ya Mzee Carl ilishajifia miaka 20 iliyopita, ni JPM kaifufua hivyo tunazindua "kufufuliwa kwa reli" mbona hujasema kiwanda cha viatu?
Kwani waliyoiua ni chadema?
 
Utakuwa unaishi Ubelgiji wewe maana hiyo reli ya Mzee Carl ilishajifia miaka 20 iliyopita, ni JPM kaifufua hivyo tunazindua "kufufuliwa kwa reli" mbona hujasema kiwanda cha viatu?
Ila PM Majaliwa na Polepole si walishawahi kuizindua tena?
 
Arusha imecheka, Arusha imependeza, uwanja wa Sheikh Amri Abeid umetapika pwaaa hadi nje...
Rema anapumulia kwenye tundu la uani, kwisha habari yake!
Wewe ni mkazi wa Arusha !!?? nakuuliza kwa maana hiyo Nyomii 75% ni watoto wa shule under 17 years old pamoja na walioletwa kutoka wilaya 7 za mkoa wa Arusha .ni idadi kubwa kujazwa watoto labda inazidiwa Na Bukoba au imezidi Bukoba
 
Back
Top Bottom