Mwambie huyo wako wakutane MtwaraMbeligiji kabanwa mbavu tokea mwanzo wa game Hadi dakika za mwisho
JPM muonee huruma mwenzio, hata kama ana uraia Pacha Lakini bado ni damu yetu, legeza kamba kidogo apumue
Naomba kuuliza wana Lumumba hivi mbona mzee wenu hawezi kuongea taratibu adi atufokee kwa ukaliii
Jibu swali kwanza Nani kaiua? Ndo tuone Kama kunamantik yakufanya huo utopolo wa leo.Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishania!
Pigeni buku Saba b7 zenu lakin nawashauri kura mpeni Tundu Lisu maana shetani Hana rafiki.Lissu huko alipo tumbo jotoooo
Arusha imecheka, Arusha imependeza, uwanja wa Sheikh Amri Abeid umetapika pwaaa hadi nje...
Rema anapumulia kwenye tundu la uani, kwisha habari yake!
Kamuulize MwanriNaomba kuuliza wana Lumumba hivi mbona mzee wenu hawezi kuongea taratibu adi atufokee kwa ukaliii
Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishwal
Walio ua hiyo reli na wanaozindua wanahusiana. Huwezi kuvitenganisha ni kama pande mbili za Shilingi.Hii aina ya kubishana sijuhi nani muanzilishi wake acha kuhamisha magoli....kutoka "kuzindua reli ya mjerumani" kwenda kwenye "nani aliiua" kwenye hizo bold chagua hoja ipi unayobishania!
Kwani waliyoiua ni chadema?Utakuwa unaishi Ubelgiji wewe maana hiyo reli ya Mzee Carl ilishajifia miaka 20 iliyopita, ni JPM kaifufua hivyo tunazindua "kufufuliwa kwa reli" mbona hujasema kiwanda cha viatu?
Ila PM Majaliwa na Polepole si walishawahi kuizindua tena?Utakuwa unaishi Ubelgiji wewe maana hiyo reli ya Mzee Carl ilishajifia miaka 20 iliyopita, ni JPM kaifufua hivyo tunazindua "kufufuliwa kwa reli" mbona hujasema kiwanda cha viatu?
Wewe ni mkazi wa Arusha !!?? nakuuliza kwa maana hiyo Nyomii 75% ni watoto wa shule under 17 years old pamoja na walioletwa kutoka wilaya 7 za mkoa wa Arusha .ni idadi kubwa kujazwa watoto labda inazidiwa Na Bukoba au imezidi BukobaArusha imecheka, Arusha imependeza, uwanja wa Sheikh Amri Abeid umetapika pwaaa hadi nje...
Rema anapumulia kwenye tundu la uani, kwisha habari yake!