whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu je hao ni baadhi ya wageni waalikwa hapo nje ya ukumbi au sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndio, imefana ajabu, karibuni...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu je hao ni baadhi ya wageni waalikwa hapo nje ya ukumbi au sio?
[emoji23]Picha zikipigwa hazitoki mkuu...washafanya yao maharusi!!
Hupitwi[emoji2] [emoji2] [emoji2]Picha tafadhaliii
Hee miss natafuta kumbe yupo!! DahWametokelezeaView attachment 717761
Ndio ndio, imefana ajabu, karibuni...
Acha kabisa, watu wamekalia Ungo, wako hewani kama Aliens...wengine wako uchi wanawanga, wengine magagulo maeusi na mekundu, ni patashika...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. MC nasikia ni ndugu yetu mpendwa sana Mng'oa Kucha.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hayawi hayawi sasa yamekuwa, leo 17/03/2018 ni siku ya kipekee kwa hawa wanachama wa chama kubwa tz na duniani Jf, ambapo mzee wa matunguri na mkuu wa kilinge cha wachawi pale kibaha Mshana jr, anaukacha ukapela kwa kufunga ndoa na binti kigoli, mwenye kiuno kama feni, lipsi za haja na msambwanda wa kuita, huku miondoko yake ikiwa kama ya Asuka, (mcheza wrestling) bint mdeko Demis!
Sherehe hiyo ambayo kwa tetesi zilizokuwepo ni kwamba baadae kutakuwa na zindiko la aina yake kilingeni, itakuwa ya aina yake kwani inatarajiwa kusisimua wahudhuriaji wote watakaokuwepo na hata kuteka jf yote...
cc; Ambiele Kievioe
bila shaka upo eneo tayara, mubashara kuleta update na mapicha kutoka kilingini, na mapochopocho mubashara ya kichawi...
Acha kabisa, watu wamekalia Ungo, wako hewani kama Aliens...wengine wako uchi wanawanga, wengine magagulo maeusi na mekundu, ni patashika...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]hufiki keshoOhooo Mshana Hawezi Oa huyo Anawachezea tu Waganga Hatuoi. Nakonda kunu inzoni
🙂🙂🙂🙂 Hahahahaha[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] atakayejaribu kuivuruga hii ndoa ya Mshana Jr na Demiss atageuzwa makalio yahamie shingoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23]W5 [emoji279] [emoji282] ረሰሰView attachment 717743
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]WametokelezeaView attachment 717761
Ajaribu aone[emoji15] [emoji15] [emoji15]Huchelewi kuta ni mazingaombwe tu ya bwana jr,kwa aliye karibu embu ageuze viatu