Akipita Mboe najiunga ACT.Atakae shindwa asihame chama. Uchaguzi ni huru na haki, CHADEMA wamejitahidi sana kuandaa huu uchaguzi kwa haki. Kila la kheri Chadema.
embu elezea kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau my lady π
subiri matokeo ya wajumbe na utafurahi zaidi gentleman πNaona unaota NDOTO
Kweli, nimeshangaza gata lile zee Lwaitama, anaongea mambo ya ajabuHawajataja muda.
Tangu Lisu achukue fomu kugombea, wasimamizi wote wamepoteza uwezo mzuri wa kufikiria....
hata chauma unaweza kwenda gentleman, ni uhuru na haki yako kutumia mihemko yako upendavyo πAkipita Mboe najiunga ACT.
Matokeo ya wajumbe yatawafutahisha sana gentleman πMbowe huyu kibaraka wa ccm? Chawa wa ccm mnahaha sana kumtetea mwenzao
Mie nimeamua kwenda ACT, dalali Mbowe atabaki na li saccos yake na manyumbu yake.hata chauma unaweza kwenda gentleman, ni uhuru na haki yako kutumia mihemko yako upendavyo π
Aise ngoja tusubirieeeeMatokeo ya wajumbe yatawafutahisha sana gentleman π
zitachapwa kavu kavu ukumbini gentleman, kutafuta sehemu nyingine ni kuanza kutishika mapema,Kama vipi tutafute sehemu tuzichape tu tujue moja
Konyagi inachemkaShikamoo wajumbe ππ,ila Mbowe kwenye kikao nadhani aliingia akiwa tungi
Unadhani mtu kama Boniyai anawazaga nini kichwani kwake?
Mitandao haipigi kura hamjajifunza chaguzi zoteAise ngoja tusubirieeee
Maana kura za mtandaoni lissu
Anamkimbiza mbowe
Ngoja tuone huko kwenye box π
Ova
Vipi kuhusu wale wajumbe waliokuwa hawajapewa vitambulisho vyao, wamepewa?Atakae shindwa asihame chama. Uchaguzi ni huru na haki, CHADEMA wamejitahidi sana kuandaa huu uchaguzi kwa haki. Kila la kheri Chadema.
tangu mchakato kuanza iko hivyo gentleman but hiyo ni tofauti kabisa na matokeo ya wajumbe kwenye ukumbi wa uchaguzi pale mlimani City jijini Dar es salaam πAise ngoja tusubirieeee
Maana kura za mtandaoni lissu
Anamkimbiza mbowe
Ngoja tuone huko kwenye box π
Ova
Wajumbe sio watu unakumbuka walicho mfanya mdogo wako Makonda kule Kigamboni?Matokeo ya wajumbe yatawafutahisha sana gentleman π