Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Hii mvua kubwa leo Dar es Salaam ni ishara ya ujio mpya na Moshi mweupe hivyo ni Ishara ya LISSU. Lakini kiuhalisia nafatilia live hapa kura za Mbowe ni nyingi zaidi
Nice nyingi kwakuwa hazijawa compressed
 
Yoshua 1:2
[2]Musa mtumishi wangu amekufa; haya basi, ondoka, vuka mto huu wa Yordani; wewe na watu hawa wote, mkaende hata nchi niwapayo wana wa Israeli.
Moses my servant is dead; now therefore arise, go over this Jordan, thou, and all this people, unto the land which I do give to them, even to the children of Israel.

Jana Lissu alitumia kifungi hiki kuomba kura unadhani aliekuwa anamrefer atamsahau.? Yeye anasema kila amkimbiliae atapata msaada.
 
Tuondolee unafki wako hapa wa Ku quote Biblia .. Tapeli wewe
 
Lissu wanachadema na Watanzania wamekuamini, always wamekutetea na kukupigania! Kawafanyie kazi kwa moyo wote, maarifa yote, nguvu zote, ujitoe kweli kweli. Kumshinda mbowe sio jambo dogo
Amemshinda kweli? tuwe serious jaman
 
Siasa na vifungu vya dini wapi na wapi jamani....

Ya kaisari mwachie kaysari....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…