Kenya is a Land property of two familiesHuko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
2017 World Press Freedom Index | Reporters Without BordersHuijui Kenya wewe, unaujua uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari?utalinganishaje Kenya na Tanzania kwenye hayo?
Wewe endelea na porojo za gazeti la Uhuru, Kenya huijui.
Huijui Kenya wewe, unaujua uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari?utalinganishaje Kenya na Tanzania kwenye hayo?
Wewe endelea na porojo za gazeti la Uhuru, Kenya huijui.
Fake News hizo, ingekuwa kweli ungeishaziona kwenye vyombo vya habari credible ikiwepo TV za Kenya.
Picha hii imeibua mjadala mkubwa sana
What can you say about Mwai Kibaki? He won against Kenyatta+ Moi!Kenya is a Land property of two families
The Kenyatta's
The Moi's
Yawezekana ukawa unabishana na sio mtu wa Manzese tu bali wa River Road pia, ndio raha ya jamiiforums.2017 World Press Freedom Index | Reporters Without Borders
Kumbe ninabishana na mtu wa Manzese asiyejua dunia ikoje..ukiona wakenya wanapiga makelele kwenye TV na redio wewe ndiyo unaita freedom of expression, sasa pitia hiyo link ya kidunia uone mambo yalivyo
Ha ha ha hii lugha ya malkia ilikuja na meli, tuvumiliane tuumesema??
Wewe sources za information zako ni vijiweni na vile kichwa yako inavyofikiria ni sawa, sasa endelea kubishana na dunia nzima, wewe endelea kuamini vile moyo wako na akili yako vinavyodhani ni sawa bila research wa ushahidi wowote, uone jinsi mmaisha yatakapokufikishaYawezekana ukawa unabishana na sio mtu wa Manzese tu bali wa River Road pia, ndio raha ya jamiiforums.
Huijui Kenya ndugu, wewe endelea tu kuisoma Kenya kupitia google.
Wewe endelea na tafiti dhaifu kwenye google na ushahidi wa gazeti la uhuru, naishi na uhalisia wa nchi zote mbili.Wewe sources za information zako ni vijiweni na vile kichwa yako inavyofikiria ni sawa, sasa endelea kubishana na dunia nzima, wewe endelea kuamini vile moyo wako na akili yako vinavyodhani ni sawa bila research wa ushahidi wowote, uone jinsi mmaisha yatakapokufikisha
Uhalisia unaupata kichwani kwako tu, kila mtu akiishi na uhalisia anaojua yeye mwenyewe dunia hii ingekalika?Wewe endelea na tafiti dhaifu kwenye google, naishi na uhalisia wa nchi zote mbili.
1. Umewahi kuisikia polisi ikikamata watu Kenya kwa kutumia uhuru wao wa kujieleza kuiponda serikali (kwa lugha yetu uchochezi) na kuichonganisha serikali na wananchi?freedom of expression.Uhalisia unaupata kichwani kwako tu, kila mtu akiishi na uhalisia anaojua yeye mwenyewe dunia hii ingekalika?
1)Uliwahi kusikia lini rais akitishia jaji wa mahakama ya juu kwamba atamuadhibu1. Umewahi kuisikia polisi ikikamata watu Kenya kwa kutumia uhuru wao wa kujieleza kuiponda serikali (kwa lugha yetu uchochezi) na kuichonganisha serikali na wananchi?
2. Umewahi lini kusikia gazeti limefungiwa Kenya na Waziri?
3. Mara ya mwisho ulisikia lini kituo cha redio, TV au gazeti kikionywa au kufungiwa Kenya juu ya habari iliyotangazwa au kuchapishwa.
4. Mara ya mwisho ulisikia lini mtu anazuiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari Kenya kama ilivyotokea kwa Nape?
5. Lini ulisikia watu wanakatazwa kufanya mikutano hata kama wanapingana na serikali.
Linganisha hayo yote kwa nchi zote mbili alafu uliza huko ulipogoogle walifanya research au waliripuka tu.
IEBC has revised voter turnout to 33%.Voters turnout kwenye uchaguzi uliofanyika tarehe 08.08.2017 ilikuwa 79.5% na jumla ya waliopiga kura walikuwa 15,593,050 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi kwa kupata kura 8,200,000 hivi.
Sasa turnout ya uchaguzi wa leo ni 48%, nenda na hesabu hapo juu, maana yake waliopiga kura leo ni watu 9,413,476 yaan kura za Uhuru za uchaguzi wa tarehe 08.08 ongeza kama kur zingine Million 1 na ushee.
Hivyo kwa turnout hii basi Uhuru na Jubilee wameshinda na kuthibitisha kuwa ushindi walioupata tarehe 08 mwezi wa 8 ulikuwa sahihi.
Jimmy Wanjiku alivamiwa nyumbani kwako kwa sababu tu anasaidia opposition financially1. Umewahi kuisikia polisi ikikamata watu Kenya kwa kutumia uhuru wao wa kujieleza kuiponda serikali (kwa lugha yetu uchochezi) na kuichonganisha serikali na wananchi?freedom of expression.
2. Umewahi lini kusikia gazeti limefungiwa Kenya na Waziri?freedom of press.
3. Mara ya mwisho ulisikia lini kituo cha redio, TV au gazeti kikionywa au kufungiwa Kenya juu ya habari iliyotangazwa au kuchapishwa.freedom of press.
4. Mara ya mwisho ulisikia lini mtu anazuiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari Kenya kama ilivyotokea kwa Nape?freedom of expression and freedom if press.
5. Lini ulisikia watu wanakatazwa kufanya mikutano hata kama wanapingana na serikali.freedom of association.
Linganisha hayo yote kwa nchi zote mbili alafu uliza huko ulipogoogle walifanya research au waliripuka tu.
Ungejua tofauti ya "vyombo vya dola" na "uhalifu wa mitaani" usingetupotezea muda kwenye thread isiyohusika.1)Uliwahi kusikia lini rais akitishia jaji wa mahakama ya juu kwamba atamuadhibu
2)Uliwahi kusikia lini Padre aliyetoa mawazo yake akauliwa kama alivyouliwa yule wa Kisumu last weekend
3)Uliwahi lini kusikia mfanyabiashara akaikosoa serikali akauliwa(Jacob Juma)
4)Uliwahi kusikia jaji akashambuliwa ili asiweze kufika mahakamani kama alivyoshambuliwa msaidizi wa Maraga, CJ
5)Uliwahi kusikia lini mahakama ikaruhusu kila chama kiwe na vituo vyake vya kuhesabia kura, then kituo cha opposition kikavamiawa?(hapa kwetu haviruhusiwi vyama kuwa na tallying centres)
Kwahiyo akikosea tumchekee tu ?? Anyway niseme wazi tu wakikuyu wanaona wao kma wanahaki sana ya kutawala Kenya ila yote yana mwisho wawaulize watutsi wa Rwanda 1959!Leo swahiba yenu mnamsema ana roho mbaya?
Acha upotoshaji ile ni estimation tu lakini turnout ni chini ya 40% ssa hyo 48% umeitoa wapi ????Voters turnout kwenye uchaguzi uliofanyika tarehe 08.08.2017 ilikuwa 79.5% na jumla ya waliopiga kura walikuwa 15,593,050 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi kwa kupata kura 8,200,000 hivi.
Sasa turnout ya uchaguzi wa leo ni 48%, nenda na hesabu hapo juu, maana yake waliopiga kura leo ni watu 9,413,476 yaan kura za Uhuru za uchaguzi wa tarehe 08.08 ongeza kama kur zingine Million 1 na ushee.
Hivyo kwa turnout hii basi Uhuru na Jubilee wameshinda na kuthibitisha kuwa ushindi walioupata tarehe 08 mwezi wa 8 ulikuwa sahihi.