Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Vipi kupotezwa na kurejeshwa Kwa Roma, Chupuchupu kuuwawa kwa vijana wa Shilawandu kule Clauds na Kipenzi cha raisi Bashite AKA Makonda maliyamungu????
 
Basi mzee baba inatosha kwa maneno uliyoongea inauma sana. Acha tuendelee na maisha yetu ya kiajabu ajabu. 😀 😀
 
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Hahahahaha nakuunga mkono 100% huku lazima wanyofoe vikojoleo
 
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Tuokolewe kwenye nini mkuu[emoji23] ?kwani tunaangamia?
yani huku kwetu anzisha hata mgomo wako,utanyooshwa siku hio hio....

No Bullsht allowed[emoji23] [emoji23]
 
Kutojitokeza kwa ndugu kutafuta wapendwa wao haiondoi tuhuma zinazoilenga serikali moja kwa moja.

Kumbuka ukienda kumtafuta ndugu yako aliyepotezwa unaweza kupotezwa na wewe ili ukimya na utulivu utamalaki.

Serikali ya ajabu ajabu hii.
 
Unajitoa sadaka kupigania haki katika nchi yako,

Huo ni uzalendo tosha, kufa na kupigania kwa ajili ya watanzania wenzako.

[emoji14] 😀
Yethu yethu yethu na maria
niache kuponda Raha nikapiganie watu wengine[emoji23] [emoji23] [emoji23]

moyo huo sina. kila mtu afe kivyake walai
 
Yethu yethu yethu na maria
niache kuponda Raha nikapiganie watu wengine[emoji23] [emoji23] [emoji23]

moyo huo sina. kila mtu afe kivyake walai
Tatizo la waafrika hasa watz ukijitolea kwa ajili yao bado hawataonesha ushirikiano zaidi ya kukucheka na kujitenga,


😀 bora kila mtu apambane na hali yake,
 
Wapigane kwann wakati kitendawili kaaingia mitini kujitoa kugombea akijua atoshinda katia hasara nchi kurudia uchaguzi kisha anaogopa debe.Angekaa kwa debe tu ngoja tuone asilimia atakazopata Uhuru zitalinganishwa na za kabla ya kufutwa uchaguzi.
 
vip huko Eastleig?
mambo yanakwenda po?
Eastleigh ilishakuwa ngome ya rais Uhuru Kenyatta, maajabu ya Mungu. Ukijaribu kuleta nyokonyoko wasomali wanakuchanjachanja na visu vyao. Yaani Raila alivopendwa na wasomali zamani, walitambua rangi zake sasa hivi hawataki kabisa hata kumskiza.
 
We jamaa post yko imeniuma sana. Umeweza vizur kuelezea maisha yetu ya kuigiza na kujifanya wema kuwatakia nyie amani wakati huku kwetu hakuna amani ni uoga na kuoneana tu..!!

Maneno yko yanauma sn, ila hakuna namna mkuu.
 
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Tuokolewe dhidi ya nani?
 
Tuokolewe kwenye nini mkuu[emoji23] ?kwani tunaangamia?
yani huku kwetu anzisha hata mgomo wako,utanyooshwa siku hio hio....

No Bullsht allowed[emoji23] [emoji23]

Asante kwa kuniongezea siku maana nimecheka mbavu zinauma, eti hata mgomo wako mwenyewe.
 
Vituoni kweupe Sana dah
Ila kuna wale wameshpampa Uhuru ajira[emoji116]
 
Reactions: Oii
Kisii turnout so nzuri, dogi wameamua kujinafas vituoni [emoji191] [emoji3] [emoji202]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…