Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnyinyi ndo mnatakiwa muokolewe kwa ukabilaHuko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Nipe mfano wa mtu aliyejitokeza hadharani kwamba amepotelewa na ndugu yake na akapotezwa, mbona ndugu zake Ben Sanane hawajapotezwa?, mbona Roma alipotekwa ndugu zake au mke wake hakupotezwa?, mbona Dr. Ulimboka ndugu zake hawajapotezwa?, sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyepotelewa na jamaa yake, japo tusikie tu kichichini kwamba watu wanapotea, wewe unapata wapi nguvu ya kusema kwamba kuna watu wamepotea kama sio majungu?, hukumbuki miaka ya nyuma maiti za wahabeshi zilivyokuwa zinaokotwa maporini hujiulizi mbona siku hizi haziokotwi tena wakati bado wanaendelea kusafirishwa kwenye containers na wanaendelea kushikwa kwa wingi mipakani?Kutojitokeza kwa ndugu kutafuta wapendwa wao haiondoi tuhuma zinazoilenga serikali moja kwa moja.
Kumbuka ukienda kumtafuta ndugu yako aliyepotezwa unaweza kupotezwa na wewe ili ukimya na utulivu utamalaki.
Serikali ya ajabu ajabu hii.
We unawaza kuokolewa, watu tunajiokoa wenyewe.Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Usijisumbue na Wapuuzi wakutafuta KikiNipe mfano wa mtu aliyejitokeza hadharani kwamba amepotelewa na ndugu yake na akapotezwa, mbona ndugu zake Ben Sanane hawajapotezwa?, mbona Roma alipotekwa ndugu zake au mke wake hakupotezwa?, mbona Dr. Ulimboka ndugu zake hawajapotezwa?, sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyepotelewa na jamaa yake, japo tusikie tu kichichini kwamba watu wanapotea, wewe unapata wapi nguvu ya kusema kwamba kuna watu wamepotea kama sio majungu?, hukumbuki miaka ya nyuma maiti za wahabeshi zilivyokuwa zinaokotwa maporini hujiulizi mbona siku hizi haziokotwi tena wakati bado wanaendelea kusafirishwa kwenye containers na wanaendelea kushikwa kwa wingi mipakani?
Ni kweli kabisa suala la Lisu serikali haiwezi kukwepa lawama, ila maiti zinazookotwa baharini, hadi leo hakuna familia wala mtu yeyote aliyejitokeza kupotelewa na ndugu yake, dalili zinaonyesha kwamba maiti ni za wakimbizi wa ethiopia wambao huwa wanafungiwa kwenye containers wakisafirishwa kwenda South Africa, siku za nyuma maiti nyingi zilikuwa zinaokotwa porini, lakini siku hizi hakuna tena maiti zinazookotwa porini ila bado wanakamatwa kwa wingi mipakani.
Ila hata kama ni watanzania lakini ni wazi kuwa sio mauaji ya kisiasa kwa sababu ukiondoa Ben Sanane hakuna chama chochote cha siasa kilicholalamika kupotelewa na viongozi au wanachama wake, ukiondoa Lisu, niambia nani mwengine aliyeshambuliwa au kuuliwa?, ila Kenya kuanzia August 8 hadi leo wanaojulikana ni zaidi ya 70, hadi viongozi wa dini wanauliwa kinyama, hopeless country.
Hawataki huo wokovu, wanaukataa. Shauri zao.Nnyinyi ndo mnatakiwa muokolewe kwa ukabila![]()
Wewe unazungumzia watu kutekwa na kurudishwa, au vitu kuvamiwa na watu kuendelea kuishi, jaribu Kenya ukisema kitu tu Kesho wanakuuwa, sasa ona hata Jaji wa mahakama aliyeshiriki kufuta matokeo ya uchaguzi walitaka kumuua juzi, bahati yake hakuwemo kwenye gari, sasa nchi gani hiyo isiyotaka watu kuzungumza au hata jaji kufanya kazi yake ya kutoa haki?, Juzi kule Kisumu Padre mmoja aliendesha misa ya mfu akamsema Uhuru Kenyatta, siku mbili baadae akakutwa porini ameuliwa na gari lake limechomwa moto, huku ni kiongozi gani wa dini aliyefanyiwa hivyo, pamoja na maneno ya hovyo anayotoa Gwajima?Vipi kupotezwa na kurejeshwa Kwa Roma, Chupuchupu kuuwawa kwa vijana wa Shilawandu kule Clauds na Kipenzi cha raisi Bashite AKA Makonda maliyamungu????
What is the matter here, ni wapi hapo. Kama kaskazini Kenya vile.Hakuna uchaguzi wa Amani hapo
![]()
nimeumia sanaHuko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Pambaneni na hali zenuHuwa nashangaa MACCM mnavyo onekana kujali sana kuhusu demokrasia ya Kenya na kujifanya watetezi ilhali huko kwenu madudu, mumekandamiza upinzani. Huku tunamuuguza jamaa wenu mliyempiga risasi 38 kisa anahoji, mara taarifa za miili 15 kwenu inapatika kwenye viroba inaelea kwenye fukwe, Maiti 15 Zaopolewa Zikiwa Kwenye Viroba - Global Publishers
Yaani matukio mengi ya kiajabu na mauaji ya kimya kimya lakini unatumia nguvu nyingi kukesha huku ukihangaika kuongea kuhusu matukio ya Kenya na kujifanya mwanademokrasia. Kwenu hata kiongozi wa upinzani kuhutubia watu watano tu kosa la jinai, Raila angekua hapo kwenu mngekua mshamnyofoa mapum.bu