Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

85d2221c7bd8dbbc1a6e40586d348020.jpg

Another empty station
 
Maeneo mengine ni kama kupiga kura si kwa hiari tena:

abd12cefaed2dd76a58f64010d2fa670.jpg

2e1479c0b1e27b84f6bd5b77943fb5d4.jpg

b11ec73d9307a80a76f3981651d93eb3.jpg

76bb214a1b4cdf992d708bd1ca88be66.jpg
 
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
Nnyinyi ndo mnatakiwa muokolewe kwa ukabila
0bee7361cf0ca8d0c6ad4348fce050df.jpg
 
Kutojitokeza kwa ndugu kutafuta wapendwa wao haiondoi tuhuma zinazoilenga serikali moja kwa moja.

Kumbuka ukienda kumtafuta ndugu yako aliyepotezwa unaweza kupotezwa na wewe ili ukimya na utulivu utamalaki.

Serikali ya ajabu ajabu hii.
Nipe mfano wa mtu aliyejitokeza hadharani kwamba amepotelewa na ndugu yake na akapotezwa, mbona ndugu zake Ben Sanane hawajapotezwa?, mbona Roma alipotekwa ndugu zake au mke wake hakupotezwa?, mbona Dr. Ulimboka ndugu zake hawajapotezwa?, sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyepotelewa na jamaa yake, japo tusikie tu kichichini kwamba watu wanapotea, wewe unapata wapi nguvu ya kusema kwamba kuna watu wamepotea kama sio majungu?, hukumbuki miaka ya nyuma maiti za wahabeshi zilivyokuwa zinaokotwa maporini hujiulizi mbona siku hizi haziokotwi tena wakati bado wanaendelea kusafirishwa kwenye containers na wanaendelea kushikwa kwa wingi mipakani?
 
Kutoka Kibera ambayo ni stronghold ya NASA:

Running battles continue as protesters hurl rocks. Police are responding with water cannon and tear gas.

I have seen one person injured and treated by the Red Cross. It’s a localised clash around Olympic polling station.

Some ballot boxes have arrived by buses.

46afcccb1f0c67a1c3492a7caea55cfa.jpg
 
Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.
We unawaza kuokolewa, watu tunajiokoa wenyewe.
 
Nipe mfano wa mtu aliyejitokeza hadharani kwamba amepotelewa na ndugu yake na akapotezwa, mbona ndugu zake Ben Sanane hawajapotezwa?, mbona Roma alipotekwa ndugu zake au mke wake hakupotezwa?, mbona Dr. Ulimboka ndugu zake hawajapotezwa?, sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyepotelewa na jamaa yake, japo tusikie tu kichichini kwamba watu wanapotea, wewe unapata wapi nguvu ya kusema kwamba kuna watu wamepotea kama sio majungu?, hukumbuki miaka ya nyuma maiti za wahabeshi zilivyokuwa zinaokotwa maporini hujiulizi mbona siku hizi haziokotwi tena wakati bado wanaendelea kusafirishwa kwenye containers na wanaendelea kushikwa kwa wingi mipakani?
Usijisumbue na Wapuuzi wakutafuta Kiki
 
Ni kweli kabisa suala la Lisu serikali haiwezi kukwepa lawama, ila maiti zinazookotwa baharini, hadi leo hakuna familia wala mtu yeyote aliyejitokeza kupotelewa na ndugu yake, dalili zinaonyesha kwamba maiti ni za wakimbizi wa ethiopia wambao huwa wanafungiwa kwenye containers wakisafirishwa kwenda South Africa, siku za nyuma maiti nyingi zilikuwa zinaokotwa porini, lakini siku hizi hakuna tena maiti zinazookotwa porini ila bado wanakamatwa kwa wingi mipakani.

Ila hata kama ni watanzania lakini ni wazi kuwa sio mauaji ya kisiasa kwa sababu ukiondoa Ben Sanane hakuna chama chochote cha siasa kilicholalamika kupotelewa na viongozi au wanachama wake, ukiondoa Lisu, niambia nani mwengine aliyeshambuliwa au kuuliwa?, ila Kenya kuanzia August 8 hadi leo wanaojulikana ni zaidi ya 70, hadi viongozi wa dini wanauliwa kinyama, hopeless country.

Wewe nawe acha kudanganya watu kha! Maiti zinazokotwa kama ni wa Ethiopia ni aje wameshindwa kutambulika kwa utaifa wao sasa ndugu watoke Ethiopia kuja kuwatambua? Balozi ya Ethiopia ipo wamepewa hiyo taarifa?
Ben Saanane Chadema wamelizungumza hili jambo hadharani serikali ipo kimya Lissu ni vile alidhulumiwa hadharani mchana
Usiwadhihaki Wakenya wakati ukijua hata Tz Hali si shwari. Kenya Mungu awasimamie awaepushe na kikombe hiki! Tunawaombea!
 
Vipi kupotezwa na kurejeshwa Kwa Roma, Chupuchupu kuuwawa kwa vijana wa Shilawandu kule Clauds na Kipenzi cha raisi Bashite AKA Makonda maliyamungu????
Wewe unazungumzia watu kutekwa na kurudishwa, au vitu kuvamiwa na watu kuendelea kuishi, jaribu Kenya ukisema kitu tu Kesho wanakuuwa, sasa ona hata Jaji wa mahakama aliyeshiriki kufuta matokeo ya uchaguzi walitaka kumuua juzi, bahati yake hakuwemo kwenye gari, sasa nchi gani hiyo isiyotaka watu kuzungumza au hata jaji kufanya kazi yake ya kutoa haki?, Juzi kule Kisumu Padre mmoja aliendesha misa ya mfu akamsema Uhuru Kenyatta, siku mbili baadae akakutwa porini ameuliwa na gari lake limechomwa moto, huku ni kiongozi gani wa dini aliyefanyiwa hivyo, pamoja na maneno ya hovyo anayotoa Gwajima?
 
Huwa nashangaa MACCM mnavyo onekana kujali sana kuhusu demokrasia ya Kenya na kujifanya watetezi ilhali huko kwenu madudu, mumekandamiza upinzani. Huku tunamuuguza jamaa wenu mliyempiga risasi 38 kisa anahoji, mara taarifa za miili 15 kwenu inapatika kwenye viroba inaelea kwenye fukwe, Maiti 15 Zaopolewa Zikiwa Kwenye Viroba - Global Publishers
Yaani matukio mengi ya kiajabu na mauaji ya kimya kimya lakini unatumia nguvu nyingi kukesha huku ukihangaika kuongea kuhusu matukio ya Kenya na kujifanya mwanademokrasia. Kwenu hata kiongozi wa upinzani kuhutubia watu watano tu kosa la jinai, Raila angekua hapo kwenu mngekua mshamnyofoa mapum.bu
Pambaneni na hali zenu
 
  • Thanks
Reactions: a_z
Back
Top Bottom