LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hata Mndela aliitwa gaidi. Sikushangai

Gaidi kwako ni mpigania uhuru kwa mwengine.
Gaidi ni mtu anayefanya mauaji ya raia wasio na hatia haijalishi ni muislamu, mkristo, Budha, Hindu, n.k

Katika kundi moja wapo la dini hapo juu kuna idadi kubwa sana ya magaidi na hawajifichi.
 
Mipaka halisi ya Utawala wa Islael; Philitia ndiyo hao wafilisti ambao ndiyo wa-Parestina wa leo. Ambapo mji mkuu ulikuwa ni Jerusalem.

 
Una hoja mkuu, hii serikali ya PM Netanyau imejaa wazuyuni wenye msimamo mkali, huenda Kuna mipango walitaka kuifanikisha kupitia hili tukio.
 
Nimekupata mkuu, Ila hii ndoto ya two states solution ni kama vile imeshajifia tu, hata Israel hawaitaki tena ndio maana mazungumzo yote kuhusu hili yamekwama sababu ya kuendelea kwa upanuzi wa maeneo ya 'settlers' wa Israel kwenye ardhi za Wapalestina.
 
Ha Haya unayoyaita malengo ya Israel umeyapachika wewe mwenyewe, Israel walishasema malengo ya hii Vita.
 
Ha
Haya unayoyaita malengo ya Israel umeyapachika wewe mwenyewe, Israel walishasema malengo ya hii Vita.
Vita ambayo tayari wameshashindwa hamas wamekuwepo na wataendelea kuwepo na palestine ataendelea kupata support ya hela na kujengwa kila siku , swali israel ataweza kuishi kwa amani na kushawishi dunia kuhusu intelligence yake na kuvutia watu wakaishi kama nchi zingine, they have failed miserably
 
🤣🤣
Acha tuone mwisho nani atashindwa sahivi tubskize akiba ya maneno
 
Israel siyo mgeni wa vita, hata Kama Palestine ikiwepo hawatakuwa na uwezo wa kuwaondoa waisrael hapo.
Au wewe unafikiri hizi fujo za wapalestina zitaiondoa israel?.
 
Haoanambaonhawana upande na wanaongea ukweli ni wachache
Wengine Wana upande lkn wanaongea ukweli
Ila wengine ndo hivyo
Cha msingi aende utube tu huko na afuatilie habari media tofauti
Sahihi! Mimi nina vyanzo vyangu mbalimbali ambavyo vinanitosha kupata updates za haraka. Humu nakuja kusoma maoni ya washiriki na kutoa ya kwangu pale inapobidi.
 
Sawa!

Ila kwa kumbukumbu zangu, uwanja wa ndege wa Yasser Arafat kwa sasa ni historia. Tangu mwaka 2002, hakuna ndege ya abiria inayotua pale. Kwa kifupi yamebaki magofu tu kutokana na vita.

Ukitaka kwenda Gaza kwa ndege inakubidi ushukie Israel au Misri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…