LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ndugu zangu embu naombeni ufafanuzi. Nikisoma maandio naona wazazi wake Yesu walikuwa ni wayahudi na miji iliyokuwa inatajwa kwenye biblia ambayo Yesu alikuwa akifanyia huduma ni Betlehem ambapo alizaliwa, Jerusalem, Galilaya nk. Na huko hii inaonesha kuwa hii miji ilikuwa ni ya Wayahudi. Sasa ilitokea nini hapa katikati ikamilikiwa na wapelestina hadi imesababisha vita isiyoisha maana hii miji ingekuwa ni ya Wapelestina basi hata kwenye maandiko naamini ingekuwa na majina ya kiarabu na sio ya Kiebrania.
 
20241027_214153.jpg
 
Nimekutana na hoja za ajabu sana za watu wanaoitetea Israel. Ikiwemo Wakristo tena wasomi na watu wazima wanaosema “ Vita ya Israel na wapalesitina ni ya kimaandiko, na siku ikiisha ndio mwisho wa dunia”

1. Sasa huyu Mungu alikua na ulazima gani kuweka hayo maandiko ambayo kundi moja la watu watesekw ili hayo maandiko yatimie?

2. Na kwanini na wewe unaamini kitu kama hiki?

IMG_1624.jpeg

photo: when you know it is your land.
 
Nimekutana na hoja za ajabu sana za watu wanaoitetea Israel. Ikiwemo Wakristo tena wasomi na watu wazima wanaosema “ Vita ya Israel na wapalesitina ni ya kimaandiko, na siku ikiisha ndio mwisho wa dunia”

1. Sasa huyu Mungu alikua na ulazima gani kuweka hayo maandiko ambayo kundi moja la watu watesekw ili hayo maandiko yatimie?

2. Na kwanini na wewe unaamini kitu kama hiki?

View attachment 3212340
photo: when you know it is your land.
nilitaka kuandika kitu ila mungu ninaemuamini mimi amenikatalia. All the best mashabiki wa hii vita.
 
Nimekutana na hoja za ajabu sana za watu wanaoitetea Israel. Ikiwemo Wakristo tena wasomi na watu wazima wanaosema “ Vita ya Israel na wapalesitina ni ya kimaandiko, na siku ikiisha ndio mwisho wa dunia”

1. Sasa huyu Mungu alikua na ulazima gani kuweka hayo maandiko ambayo kundi moja la watu watesekw ili hayo maandiko yatimie?

2. Na kwanini na wewe unaamini kitu kama hiki?

View attachment 3212340
photo: when you know it is your land.
We ni punguani wa mapunguani kuwahi kutokea katika uwanja mpana wa JF.

Unajua tatizo lenu nyie ni utapeli ambao ulifanya sumu katika bongo zenu, sumu ilioharibu mfumu wa ufahamu katika maisha yenu.

Mmebaki kutetea magaidi wa hamas huku mkija na utetezi wa kijinga jinga

Mnatunga hadi mambo yenu biafsi ili mtetee asili yenu ya ukorofi, vitu na mauaji.

Punguani wewe unaesubiria mademu 72
 
Kuna mda nashindwa kuelewa waafrika ambao wenye imani ya kiislamu hapa afrika tena tanzania ndio wenye uchungu na palestina utazani imani ilitoka huko.

Ukiangalia mataifa ambayo yamepitia matatizo syria,yemen,afghan,libya,congo,sudani kusini na sudani yenyewe,mali na n.k uwezi kusikia hata msikitini kuongelewa wala kukasilishwa yanayo fanyika.
 
kutoka 586 BCE waliishi eneo hilo hata kabla ya kuwepo na itikadi nyingine maarufu hapo Iraq. Hadi kufika miaka 1960s na 1970s, karibia wayahudi wote wakawa wamekimbia.

Ghasia hizo zilichochewa na madai kuwa Wayahudi wa Iraq walikuwa wamewasaidia Waingereza kuiangusha serikali ya Iraq iliokuwa na mahusiano makubwa na NAZI ya Ujerumani.

Propaganda za Nazi na ushawishi wa Haj Amin al-Husseini, Mufti Mkuu wa Jerusalem, ambaye alikuwa Baghdad wakati huo, alicheza jukumu kubwa katika kuchochea au kuhalalisha ghasia dhidi ya Wayahudi.

Wayahudi zaidi 180 wlaifariki huku 1000 wakijeruhiwa.

Ghasia hizi za mwaka 1941 ndizo pia zilikuwa chachu za kufanya wayahudi kurudi katika nchi yao ya ahadi. (Israel) mwaka 1948.
 
Back
Top Bottom