GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Sio khamenei ni mungu sasaHatajua lini na kipi kitampiga,kwa uovu huo anaouendeleza,atashangaa kitakachompiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio khamenei ni mungu sasaHatajua lini na kipi kitampiga,kwa uovu huo anaouendeleza,atashangaa kitakachompiga
Mkuu,Mungu ni mmoja tu,kila mtu humpa jina lake,hata kwa kabila lako humwita kwa jina lenu
Mkuu ni rahisi sana kumlaumu Netanyaahhauu..ila shida yale majamaa ugomvi yalianzisha yenyewe.Hatajua lini na kipi kitampiga,kwa uovu huo anaouendeleza,atashangaa kitakachompiga
labda kwa akili yako weweMkuu,
Mungu na Allah ni tofauti
Nakushauri usome historia vizuri,unajua kwanini walifanya vile?Ni kwasababu israeli imewakamata wapalestina zaidi ya laki moja,wamewanyang'anya wapalestina ardhi yao,na wapalestina wanafai haki yaoMkuu ni rahisi sana kumlaumu Netanyaahhauu..ila shida yale majamaa ugomvi yalianzisha yenyewe.
Israel harogeki,Nyie muwe na subira tu,mtashuhudia nayosema
Wewe ndo huelewi broo.Nakushauri usome historia vizuri,unajua kwanini walifanya vile?Ni kwasababu israeli imewakamata wapalestina zaidi ya laki moja,wamewanyang'anya wapalestina ardhi yao,na wapalestina wanafai haki yao
Then they took a wrong path..Nakushauri usome historia vizuri,unajua kwanini walifanya vile?Ni kwasababu israeli imewakamata wapalestina zaidi ya laki moja,wamewanyang'anya wapalestina ardhi yao,na wapalestina wanafai haki yao
Hakuna anayesema kurogwa hapa,hakuna Mungu mbaguzi wala Mungu muonezi hayo ni maneno ya binadamu,wapalestina ipo siku wataipata haki yaoIsrael harogeki,
Imeandikwa, hapana uchawi Wala uganga juu ya Israel,
Sasa mtafanya nn?
Unajua waisraeli wameua wapastina wangapi?Then they took a wrong path..
Attacking innocent civilians.
Wacha wakinywee
Always wao ndo wanaanzaga fujo .Unajua waisraeli wameua wapastina wangapi?
Wewe ndo huelewi broo.
Hata wenzio wenye hekima wanajua hiyo ardhi ni ya Wayahudi..
View: https://x.com/sanderson17280/status/1774137548605993180?t=s7Qp7LsCkxnF0Cg5nKuU5g&s=09
imeandikwa na nani? imeandikwa wapi broo hizo ni propaganda za kijambazi za watu watu wezi na wanyang'anyiIsrael harogeki,
Imeandikwa, hapana uchawi Wala uganga juu ya Israel,
Sasa mtafanya nn?
wayahudi ndio wameanza kwa kuwadhulumu wapalestinaNani anamchokoza mwenzie?
Hahaha,Huo ni uongo wa hali ya juu,hiyo ni ardhi ya wapalestina
Mungu ni mmoja tu,kila mtu humpa jina lake,hata kwa kabila lako humwita kwa jina lenu
Gaza na Wapalestina wote watatimkia Tunisia.Hakuna anayesema kurogwa hapa,hakuna Mungu mbaguzi wala Mungu muonezi hayo ni maneno ya binadamu,wapalestina ipo siku wataipata haki yao
Ndo nasemaje, rusheni majini na mapepo yote m ayoyaaminia, hamtompata Netanyahu maana Israel harogeki.imeandikwa na nani? imeandikwa wapi broo hizo ni propaganda za kijambazi za watu watu wezi na wanyang'anyi
Mkuu, kwa hiyo haki inadaiwa namna hiyo?Nakushauri usome historia vizuri,unajua kwanini walifanya vile?Ni kwasababu israeli imewakamata wapalestina zaidi ya laki moja,wamewanyang'anya wapalestina ardhi yao,na wapalestina wanafai haki yao