LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Ndo nasemaje, rusheni majini na mapepo yote m ayoyaaminia, hamtompata Netanyahu maana Israel harogeki.
Ni nani alikuambia wapalestina wanarusha majini? kwani hayo makombora yaliyopigwa leo. kulenga makazi na ofisi ya natanyahu ni majini?
 
Hata wale
Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli.

Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji mapigano yaliyoheshimishwa kwa ujumla tangu kumalizika kwa vita vya siku tano mwezi Mei. Tawi la kijeshi la Hamas limetangaza kuwa limeanzisha operesheni iitwayo "Mafuriko ya Al-Aqsa" dhidi ya Israel.

Ufyatulianaji wa risasi, kuanzia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza, ulianza kabla ya 6:30 asubuhi saa za Mashariki ya Kati na kuendelea karibu dakika arobaini na tano baadaye.

Nchini Israeli, ving'ora vya onyo vimesikika katika miji kadhaa karibu na Palestina, pia huko Jerusalemu lakini pia ndani zaidi katika eneo hilo, kaskazini na mashariki, kulingana na jeshi.

Roketi imeanguka kwenye mji wa Yavne, kusini mwa Tel Aviv, ambapo mtu mmoja amejeruhiwa kidogo, kulingana na Magen David Adom, sawa na shirika la Msalaba Mwekundu nchini Israel. Mwanamke mwenye umri wa miaka sitini ameuawa "kwa pigo la moja kwa moja", na watu wengine 15 wamejeruhiwa kusini mwa Israeli, linasema shirika la Magen David Adom.

Jeshi la Israel limeripoti kupenya kwa "idadi isiyojulikana ya magaidi" kwenye ardhi ya Israel kutoka Ukanda wa Gaza. "Wakazi katika maeneo jirani ya Ukanda wa Gaza wametakiwa kusalia nyumbani," jeshi limeongeza.

Mwezi Mei, Israel ilianzisha mashambulizi dhidi ya Islamic Jihad ya Palestina katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha vita vya siku tano kati ya jeshi la Israel, Islamic Jihad na makundi mengine yenye silaha katika eneo hilo, na kugharimu maisha ya Wapalestina 34 na mwanamke mmoja wa Israel.

Zaidi ya roketi elfu moja zimerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel, nyingi zikiwa zimenaswa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Israel kwa upande wake ilikuwa imeongeza mashambulizi ya anga katika eneo hilo dogo.

Hamas, ambayo ilichukua mamlaka huko Gaza mwaka 2007, ilikuwa imejitenga na mzozo huu.

Imechapishwa: 07/10/2023 - 08:13 Na:RFI

Video na TRT AFRIKA
View attachment 2786228
Hata waliorganize na kutekeleza mauaji na utekaji wa octoba 7 wataadhibiwa na Mungu
 

Israeli spy tells it all: Anyone who gets in our way , even Politicians in the west , will fall." Wow! This tells if all.All Fallen American presidents is their damn dirty work.​

Hal Turner World October 23, 2024 Hits: 14302
Israeli Spy: Anyone Who Gets in Our way - even Politicians in the west . . . Will FALL"


Mosab Yousef, a documented Israeli Spy, said on Peirce Morgan's TV Show "Anyone who gets in the way, even if they are politicians in the West, they are going to FALL. We have the right to bring them up, and to bring them DOWN."
Yes, you read that correctly, an Israeli spy just THREATENED to MURDER Western politicians.
Mosab Hassan Yousef (born 5 May 1978) is an ex–Palestinian militant who defected to Israel in 1997, thereafter working as an Israeli spy for the Shin Bet until he moved to the United States in 2007.
His father is Sheikh Hassan Yousef, a co-founder of Hamas. A New York Times bestselling author, he is known for his outspoken criticisms of Hamas and Islam.
The Shin Bet considered Yousef to be Israel's most valuable source within the Hamas leadership.
Here is the entire video segment so you can see it and hear it for yourselves:To my surprise and delight, a man whom I RARELY-IF-EVER agree with, Cenk Uygur, jumped on this quite well, while Peirce Morgan just seemed to sit there . . . perhaps stunned . . . on his own show!
Israel says it will kill U.S. politicians if they don't support Israel. Now do you see how dangerous this Zionist occupation is?
How They Control Congress

View: https://x.com/Kanthan2030/status/1799238681531937207

They Admit "New World Order:"
Stunningly, they ADMIT they are deliberately destroying everything to bring in a "New World Order" with all governments gone except a "Sanhedrin"
These lunatics are coming for you, too, Jewish people who don't buy this crap. They say they represent you, but they represent your destruction.
All of us had better wake up to the mentality that rules you while you still can.
This is the same mass formation psychosis as NAZISM, only it is DISGUISED by a CULT that masks and hides behind and identifies within the victimhood of NAZISM...the Jewish.

It has the same doctrine of SUPERIORTY, dictatorship etc.At it's core it is all the same: SATANISM.

They are not Jewish. Real Jews are like you and me, don't you see?
HERE. Real Jews, Protesting Zio-Nazi Netanyahu:


View: https://x.com/WarMonitors/status/1806393509630673143
 

Attachments

  • Israeli-Spy-threatens-west-politicians.mp4
    3.8 MB
  • Jewish-New-World-Order-2.mp4
    10.4 MB
Wanaukumbi

Vyombo vya habari vya Israeli kuhusu ripoti ya awali na ngumu:

- Hezbollah ililipua kwa bomu "Miskav Am" ambapo kundi la askari liko.

- Mlipuko huo haukomi, kuna majeraha na majeruhi, na kuna majaribio ya kuwaokoa waliojeruhiwa chini ya moto wa Hezbollah.
=========================
⚡️Israeli media about a preliminary and difficult report:

- Hezbollah bombed “Miskav Am” where a group of soldiers is located.

- The bombing does not stop, and there are injuries and injuries, and there are attempts to rescue the wounded under Hezbollah fire


View: https://x.com/warintel4u/status/1849707342163476634?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
👇🏽

View: https://x.com/aryjeay/status/1849715142499430433?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
⚡️Israeli media announced the killing of 10 Israeli soldiers in battles in Southern Lebanon last night, and with the strict censorship practiced, figures are expected to be much higher.
 
Vyombo vya habari vya Israel vilitangaza kuuawa kwa wanajeshi 10 wa Israel katika mapigano Kusini mwa Lebanon jana usiku, na kwa udhibiti mkali unaofanywa, takwimu zinatarajiwa kuwa kubwa zaidi.
 
Mods mna mahaba na Israel mkiona uzi wamepelekewa mto mnaunganisha lakini za kushambuliwa Gaza zimejaa tu😆
 
Back
Top Bottom