Mbaya zaidi Waafrika ni kupe wanakunyonya tu na hawana cha kutoa, labda madini ambayo nayo ni gharama kuyachimba...akianza kuchimba leo faida itaanza kuonekana miaka 5 ijayo, miaka 5 inatosha nchi kuanguka kiuchumiHii kauli ni nzito sana uenda ikachafua hali ya hewa.
Urusi kwasasa inajisogeza kwa waarabu na waafrika kwa nguvu zote.
Binafsi naona yupo kwenye kundi la kupoteza.
Kushirikiana na mtu Mweusi na Mwarabu ni dalili ya kushindwa vibaya.
Hivi hujui Russia inaiogopa Israel?Hawa viongozi wa Israel wawe makini sana kipindi hiki.
Russia ikiamua kwa 100% kuwa against na wao watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
Dogo kunywa hata maji basi?Rusdia amafaidika na hii vita..Kuna sehemu kashikilia haachii.
Russia inaonekana anatamani timbwili la ardhini Gaza litokee apigane Proxy.
Anyway Israel hana uwezo wa kumthreaten Mrussi. Netanyagu and co watakuja kusema si mawazo ya Isrqel ni mawazo ya huyo mwehu
Kaishawagusa Ulaya marq kibao..Hebu acheni basi mzee.Hivi hujui Russia inaiogopa Israel?
HIli huwezi kuliewa kirahisi.
ANajua fika akiigusa Israel Us na Ulaya nzima ameigusa
Russia ipo against israel na miaka michache hilo litajidhirisha 100% kwa vitendo ambapo russia ataungana na waarab kuivamia israel lakini watashindwa kwa muujiza wa MunguHawa viongozi wa Israel wawe makini sana kipindi hiki.
Russia ikiamua kwa 100% kuwa against na wao watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
Aliigusa lini na wapi?Kaishawagusa Ulaya marq kibao..Hebu acheni basi mzee.
Washamfanyia kila aina ya timbwili. Watafanyaje??
Watavamia Urussi, nani anaweza??
Kwani ukraine pale hajawagusa.Aliigusa lini na wapi?
Nafikiri yuko nyuma ya Waarabu na huenda ana mkono...ufadhili kwa magaidiNaomba kupata maelezo Russia kawafanyaje hawa Israel?
Hahaha ndo mnavyojidanganya, Russia hakuna mbwa anayemwogopa na ni one man Army hategemei misaada wa muunganiko kama NATO. Pale Ukraine wameshindwa mpaka sasa sembuse Israel anayesumbuliwa na kikundi, anaomba mpaka silaha ndo wakumsumbua Mrussi😂😂😂Hivi hujui Russia inaiogopa Israel?
HIli huwezi kuliewa kirahisi.
ANajua fika akiigusa Israel Us na Ulaya nzima ameigusa
Ukraine ni koloni la Mrusi kupitia USSR we dogo.Kwani ukraine pale hajawagusa.
Una horojoka tu, hujui hata Russia na Israel wana mkataba gani na kwaniniHahaha ndo mnavyojidanganya, Russia hakuna mbwa anayemwogopa na ni one man Army hategemei misaada wa muunganiko kama NATO. Pale Ukraine wameshindwa mpaka sasa sembuse Israel anayesumbuliwa na kikundi, anaomba mpaka silaha ndo wakumsumbua Mrussi😂😂😂
Biased opinion!Hii kauli ni nzito sana uenda ikachafua hali ya hewa.
Urusi kwasasa inajisogeza kwa waarabu na waafrika kwa nguvu zote.
Binafsi naona yupo kwenye kundi la kupoteza.
Kushirikiana na mtu Mweusi na Mwarabu ni dalili ya kushindwa vibaya.
Nimekupata mkuu. Huenda ndio anaowapa silaha au? Au amewanyima silaha Israel?Nafikiri yuko nyuma ya Waarabu na huenda ana mkono...ufadhili kwa magaidi
HahahaaaaHii kauli ni nzito sana uenda ikachafua hali ya hewa.
Urusi kwasasa inajisogeza kwa waarabu na waafrika kwa nguvu zote.
Binafsi naona yupo kwenye kundi la kupoteza.
Kushirikiana na mtu Mweusi na Mwarabu ni dalili ya kushindwa vibaya.
Wewe ndo ulikurupuka chief, tutajie huo mkataba waliongia pamoja na proof ya huo mkataba sio kuleta maneno hewaUna horojoka tu, hujui hata Russia na Israel wana mkataba gani na kwanini
Israel, India na Russia wana mikataba kadhaa ya kuuziana silaha...pamoja na Israel kutoruhusiwa kumuuzia au kumsaidia silaha Ukraine na Georgia.Nimekupata mkuu. Huenda ndio anaowapa silaha au? Au amewanyima silaha Israel?
Israel na Russia wana kitu wanaitaWewe ndo ulikurupuka chief, tutajie huo mkataba waliongia pamoja na proof ya huo mkataba sio kuleta maneno hewa
Hajui russia na waarabu tangu enzi ni washirika na wao ndio wanacontrol oil priceKwa
Kwa akili yako Russia kaanza leo kusupport waarabu?