white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mbona bado sana!! Watakufa sana!! HAMAS, waache kutumia watu kama ngao yao, zamu hii wala hata asilimia kubwa ya dunia haiwaonei huruma hao Wapalestina, kwani huwezi kutumia mbinu ile ile ukategemea majibu tofauti!! Na kibaya zaidi zamu hii ni kama wao ndio wachokozi!!! Hao wenzao tu wa ukingo wa magharibi, wanawakataa hao Hams kwa ujinga wao.Israel kaweka records kawauwa watoto 3300 na wanawake 1756 na wengine wanaume ambao hawana hata silaha, hatujawahi kuona kwenye hayo majumba silaha.
Kumbe ukitaka kuwa Super power uvunje majumba nakuwauwa watoto wengi na wanawake na vizee 😂
Ogopa mtu anae pigana hili afe hana cha kupoteza hila ww unaetaka kwenda vitani hili vikiisha urudi kwa mume wko ndio utaogopa kifoAsipoachiwa atakufa na ndugu zenu 1000
Ila na nyie Wapalestina muache kuwa mnatumia picha za maiti za watoto/wanawake ili kutafuta huruma!! Wala zamu hii haitasaidia kitu,Wale LGBTQ 1300 walioangamizwa hapo Israel ni waume zako au
Labda wakiwa makanisani huko wanadanganyana kuwa waisrael ni wakristo wenzao maana wagalatia Kwa kudanganyana hawajambo
Sasa hv mtu anachokifikiria kichwani kwake anakuja kuanzisha uzi inabidi humu kujiunga sasa hv kuwekwe umri kuanzia miaka 18+ maana uzi nyingne ukisoma unajua kabisa hz akili za kitotoDuh uchambuzi huu mbona kiboko?
teamHamas mnajibu kinyonge sanaAu sio
umejibu kinyonge snDuh uchambuzi huu mbona kiboko?
Kwa kuwa Uzi haujakufurahisha vile utakavyo wewe?Sasa hv mtu anachokifikiria kichwani kwake anakuja kuanzisha uzi inabidi humu kujiunga sasa hv kuwekwe umri kuanzia miaka 18+ maana uzi nyingne ukisoma unajua kabisa hz akili za kitoto
Unaijua Underground War wewe[emoji1787][emoji1787]Duh uchambuzi huu mbona kiboko?
umeandika upumbav wako wote huu lkn hujawai kukemea mauaji yanayofanywa na waislam hapo jiran tu msumbiji , ndio maana nakuita GAIDI huez guswa na wapalestina kisa uislam halaf usiguswe na waafrika wenzio waislam wanaouliwa na waislam wenzio hapa baran Afrika eg Somalia , Msumbiji na hata DrcWakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya.
Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonyesha Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, akikabiliana na umati wa watu waliokuwa wakimzomea, huku baadhi ya waliohudhuria msikitini wakitoa nara: "aibu juu yako". Waandamanaji hao Wamewataka waandaaji wa mkutano huo wasimruhusu Justin Trudeau kuzungumza.
Pia, wakati Trudeau anatoka kwenye jengo la msikiti, alikumbana na waandamanaji waliokuwa na mabango yenye maandishi yanayowaunga mkono watu wa Palestina.
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada ilitangaza baada ya tukio hilo kwamba: Trudeau alikuwa msikitini hapo kuhudhuria programu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu ya Toronto ili eti kuonyesha uungaji mkono wake kwa jamii ya Waislamu ambao wameathiriwa na matukio ya kutisha katika Mashariki ya Kati. Waandamanaji waliokuwa eneo hilo wameitambua ziara hiyo ya Waziri Mkuu wa Canada eneo la msikiti wa Waislamu mjini Toronto kuwa ni unafiki na kukosa haya, hasa baada ya kutangaza uungano mkono wake kwa mauaji yanayoendelea kufanywa na Israel dhidi ya watu wa Gaza.
Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, kama viongozi wengine wengi wa nchi za Magharibi, amewakasirisha Waislamu wa Canada na maeneo mengine ya dunia kwa kusema kuwa, Ottawa inaunga mkono haki ya Israeli ya kujilinda, wakati huu ambapo utawala huo ghasibu ukiendelea kuua raia wasio na hatia wa Gaza. Waziri Mkuu wa Canada ametoa matamshi hayo huko Israel ikiwa tayari imeua raia zaidi ya elfu nne wa Gaza.
kwahiyo kule kwenye disco walipoua watu 260 ndo walipowateka magenerali wa kambi nne na wanajeshi ? hv kichwan upo timamu kwel?Wapi hao watoto au wanawake Hamasi alio waua, nacho fahamu Hamasi aliuwa wanajeshi na akateka wale sio wanajeshi na akawachukua Mageneral wote wa kambi nne pia matekwa.
Si Biden aliulizwa ziko wapi picture au uliona hizo picture akasema hakuziona kahadisiwa tu [emoji23]
Hamasi wanaume hapigi isipokuwa wanajeshi.
ww utakuwa kichaa kama hujui kuwa walikwepo jamii mbali na waarabu hapo Palestine kipind cha utawala wa uingerezaNa nani kakuambia hao ni watoto zake? Hao ni watoto wa haramu wengi wamezaliwa nje ya ndoa.
1948 ndio muingereza kawapa nchi watakuwa watoto wa Muingereza.
Hawa jamaa akili zao kama zipo sawa. Nadhani aliyesema maandishi yaanzie kushoto kwenda kulia alikuwa sawa. Sasa akaibuka mtu baadaye akapindua Kila kitu. Maandishi yake yakatoka kulia kwenda kushoto. Maandiko aliyoyakuta kabadilisha badilisha ona Sasa na wafuasi wake akili zao zimepinduka ant clockwiseHawa jamaa wanashangaza sana. Hebu ona hapa anavyofurahia Hamas wanaporusha maroketi kwenda kupiga Israeli. Allahu Akbar za kutosha....
View attachment 2793794
Muone hapa anavyolia baada ya kukoswa koswa na makombora ya Israel walipojibu mapigo...Vita siyo lelemama. Natumaini watapata suluhisho la kudumu siku moja. Watauana na kuwindana hivi mpaka lini?
View attachment 2793795
Wakati wa ziara yake ya kutembelea msikiti mjini Toronto, Waziri Mkuu wa Canada amezomewa na hadhirina kotokana na msimamo wake kuhusu mauajii yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina ambako amepatwa na tahayuri asijue la kufanya.
Video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonyesha Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, akikabiliana na umati wa watu waliokuwa wakimzomea, huku baadhi ya waliohudhuria msikitini wakitoa nara: "aibu juu yako". Waandamanaji hao Wamewataka waandaaji wa mkutano huo wasimruhusu Justin Trudeau kuzungumza.
Pia, wakati Trudeau anatoka kwenye jengo la msikiti, alikumbana na waandamanaji waliokuwa na mabango yenye maandishi yanayowaunga mkono watu wa Palestina.
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Canada ilitangaza baada ya tukio hilo kwamba: Trudeau alikuwa msikitini hapo kuhudhuria programu ya Jumuiya ya Kimataifa ya Waislamu ya Toronto ili eti kuonyesha uungaji mkono wake kwa jamii ya Waislamu ambao wameathiriwa na matukio ya kutisha katika Mashariki ya Kati. Waandamanaji waliokuwa eneo hilo wameitambua ziara hiyo ya Waziri Mkuu wa Canada eneo la msikiti wa Waislamu mjini Toronto kuwa ni unafiki na kukosa haya, hasa baada ya kutangaza uungano mkono wake kwa mauaji yanayoendelea kufanywa na Israel dhidi ya watu wa Gaza.
Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, kama viongozi wengine wengi wa nchi za Magharibi, amewakasirisha Waislamu wa Canada na maeneo mengine ya dunia kwa kusema kuwa, Ottawa inaunga mkono haki ya Israeli ya kujilinda, wakati huu ambapo utawala huo ghasibu ukiendelea kuua raia wasio na hatia wa Gaza. Waziri Mkuu wa Canada ametoa matamshi hayo huko Israel ikiwa tayari imeua raia zaidi ya elfu nne wa Gaza.
maneno ya muumin wa Muddy [emoji23][emoji23] hz akili za kimuddy kbsAlimbaka mama yako ukaziliwa ww ndio maana umejaa mavi kichwani badala ya ubongo.
kwahyo unaheshimy imani iliyoleta machafuko baran Afrika? kuna haja ya kukuchunguza , kibiti , Tanga na hata Mtwara washakuwa wahanga wa imani hii bado mnawaheshimu hawa?Mimi ni mkristo ambaye siwezi dharau imani ya mtu mingine.
Wengine mnawezaje sijui.
hoja yako ni ipi? usitie huruma aseeWanapigana na jeshi lipi?Hilo jeshi lina silaha zipi za maana?Hilo jeshi ni namba ngapi duniani kinguvu?Umetumia nini kuwaza hata uwalinganishe wanamgambo wa Hamasi wasiokuwa na hata kifaru kimoja na jeshi kamili la nchi ya Ukraine?.
mtume anapendaj nyapu za bure , huyo mtume anatofaut gan na Sele?Sasa si ndo maana nimekuambia ya kuwa alimbaka mama yako ndo ukaziliwa ww tahira.
Hata hivyo usimlaumu mudi kwa sababu hakuna aliye mtuma mama yako awe mgawa nyapu hovyo hovyo akiwa bado mdogo, mbaya zaidi ww ulirithi tabia ya mama yako kwa sababu na ww umeanza kuliwa kudu lako ukiwa mdogo kama mama yako fala ww.
Kama wamarekani wamechomewa kambi nyingi zinalipuliwa wanaishia kutuhadaa kuwa wanajesh wao wamepata brain injurySio 1300 ni zaidi ya 5000 na kama si zaidi, Israel huwa hasemi ukweli.