Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Hapana hivyo viumbe vinatuzidi sisi Waafrika kwa kukoswa akili, uliona wapi na lini Mwafrika akaharisha kwenye mdomo wa Binadamu mwenzake hata kama ana ukwasi namna gani?Waiarabu ni wajinga pengine tunalingana sisi waafrika katika ujinga
Sure mkuuUnadhani hawa ngozi nyeusi waliokatika fyuzi za upeo kihekima wanaelewa hivyo?
Udini ni adui mkubwa sana kuliko hata ugonjwa, maradhi, ujinga na uchawa.
Kwamba wale wauaji katili hamas hawana hatia, au?!"Pongezi na baraka kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa muqawama wa Palestina na watu wasio na hatia
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)Unadhani hawa ngozi nyeusi waliokatika fyuzi za upeo kihekima wanaelewa hivyo?
Udini ni adui mkubwa sana kuliko hata ugonjwa, maradhi, ujinga na uchawa.
watu ni wamoja wacha wapigwe wachakae.Magaidi sio yakuyachekea kabisaKwanini hao Palestina hawashinikizi HAMAS kuwaachia mateka wa Israel ili Israel iache kushambulia?
Na kwanini hawapambani na HAMAS wanaowaponza? Mbona ni kama wanawakumbatia?
Houthis wamedeclare vita rasmi na wazayuni ,wasema wako tayari kukichafuaWaliingia jana wakarudishwa nyuma , leo tena wameingia kwa mujibu wa Aljazeera ila matokeo mpaka sasa hatu jayapata.
Yani hapo nikama unataka waendelee kutawaliwa kimabavu, hao hawana mawazo ya kumpnga hamas ni kumpongeza Tu. Yani unataka wakubali unyonge waendelee kutawaliwa hiyo kitu futa. Hao ni wapigania Uhuru Mzee unachukiona nimatokeo Tu lkn mioyo ya watu wagaza wako teyari wafe wote ndio maana huoni wakipnga.Kwanini hao Palestina hawashinikizi HAMAS kuwaachia mateka wa Israel ili Israel iache kushambulia?
Na kwanini hawapambani na HAMAS wanaowaponza? Mbona ni kama wanawakumbatia?
Hili nakubaliana na weweUnadhani hawa ngozi nyeusi waliokatika fyuzi za upeo kihekima wanaelewa hivyo?
Udini ni adui mkubwa sana kuliko hata ugonjwa, maradhi, ujinga na uchawa.
Wasije anza kulia Israel itakaposafisha huko Yemen. Waambieni mapemaYemen Houthis wamedeclare vita rasmi dhidi ya Israel
Baada ya Vita Yemen, itaanzisha Uhusiano na Waisrael.Wasije anza kulia Israel itakaposafisha huko Yemen. Waambieni mapema
Tulia tuone matokeo ww unaona ni wajinga. Unatumia kigezo gani? Ww unawajua sana kuliko wenyewe tulia vita vipigwe mwisho tuone. heshima itakuwepo Tu pnd zoteBaada ya Vita Yemen, itaanzisha Uhusiano na Waisrael.
Yemen iko vitan karibu miaka 10, Syria iko vitani miaka 12, watu hawaoni ila wanakazana na Gaza. Waarabu/Waislam ni wajinga sana huko middle east.
Israel ikiamua kuwasupport wapinzani wa hao Houthi wasianze kulalamika
Hao mbwa wafu watapata kichapo vile vile. Mungu ibariki IsraelYemen Houthis wamedeclare vita rasmi dhidi ya Israel
Bado mjasema na mtasema.Hawa wamekufa leo kwenye uwanja WA mapambano
View attachment 2799365View attachment 2799367wView attachment 2799370