LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wasije anza kulia Israel itakaposafisha huko Yemen. Waambieni mapema
Saudi kapiga mabomu kwa drones ,vifaru na ndege kama hana akili nzuri kwa miaka minne 4+ tena kafanya Hadi carpet bombing lakini kawashindwa hao watu na kainua mikono na kuomba mapatano nao kupitia Iran
Ogopa sana determination ,mtu alidhamiria kitu acha kabisa
 
Wasije anza kulia Israel itakaposafisha huko Yemen. Waambieni mapema
Kuna jamii zimeshazoea kupigwa mabomu na kucheza na vifusi kila siku , ukiangalia Saudi Arabia akiwa supported na Marekani maafa aliyosababisha hapo Yemen kwa miaka zaidi ya minne akikabiliana na Houthis ni kufuru kubwa ,kaua watu wengi tena raia wasio na hatia , katumia phosphorus bombs , kabomoa majengo ya raia ,yet huwezi kupata hizo taarifa kwenye media hizi za kimataifa .
Mpaka hospitali zimepigwa bombs za kutosha kama mzayuni anachofanya Gaza .
 
Hao mbwa wafu watapata kichapo vile vile. Mungu ibariki Israel
Israel maneno ya taarabu huwa hana yeye ni vitendo tu
Wapalestina wa kwa mpalange cheki mambo hayo 👇 👇 👇 👇
Mmmoja kati ya makamanda wa Hamas Ibrahim Biari kafyekelewa mbali leo na magaidi wengine kibao wamewaishwa kuzimu leo.
Hamas wanajificha kwenye makambi ya wakimbizi sasa Israel anafumua fumua mpaka hayo makambi na matokeo ndo kama haya
Itoshe tu kusema milele na milele waarabu vita na Israel ni kujichosha tu na kupoteza muda sabab haitotokea waarabu wakashinda kamwe haitotokea na ndiyo maana Egypt kwa kulitambua hilo alishakubali yaishe na mkataba wa kutoishambulia Israel akasaini.
Sasa kuna kizabinazabina mmoja anaitwa urusi na mwingine iran pamoja na turky dawa yao inachemka siku yao yaja watajaribu kuishambulia Israel huku wakiongozwa na mpinga kristo na nabii wa uongo pamoja na shetani na majeshi ya mapepo ndipo watakapojua Mungu Yehova ni Mungu na atabaki kuwa Mungu.

 
Hao mbwa wafu watapata kichapo vile vile. Mungu ibariki Israel
Huwajui Houthis wewe , jifunze na uwafahamu ni kina nani
Sio Hamas hao ,sasa hivi wana hadi missiles na drones ,tena za hali ya juu .
Kuna mwaka Wamefumua mpaka Refineries za mafuta pale Saudi Arabia , zile za Saudi Aramco Kwa kutumia drones ,na mifumo ya air defence ya mmarekani pale Saudia Ilishindwa hata kudetect na kuzuia hayo mashambulizi
 
Hii Vita uliyoandika hapa ambayo itatokea baadae, ukisoma bible ipo kiroho zaidi (spiritually), hata mji mtakatifu wa 'Jerusalem' ni ule mji mpya ushukao kutoka mbinguni "Ufunuo wa Yohana 21"....sio huo unakaliwa na Israel na kugombewa na Wapalestina.

Kwanini haya mambo mnayatafsiri sana kimwili na sio kiroho.

zitto junior Mathanzua
 
naelewa sana nilichoandika na nina uhakika nacho ahsante
 
naelewa sana nilichoandika na nina uhakika nacho ahsante
Bado upo unajifunza, maisha na hata mambo ya 'rohoni' ni kujifunza kila siku.

Aliyehitimu na kuyajua yote ni Yesu Kristo peke yake.
 
Hamas walivyosema kwamba Gaza itakua ni kaburi la Wanajeshi wa Israel walikua hawatanii..Shambulizi moja tu wameuwa wanajeshi 67 wa Israel


#BREAKING Al-Qassam Brigades ambushed Israeli soldiers, captured 43 soldiers and killed 67 soldiers.

Source:Israel channel 14

Israeli media and Military sources confirming the Ambush but denied any captured soldier

As a result of the attacks of the Al-Qassam brigade, a unit of the Givati Brigade had to withdraw from the north of Gaza —
Palestinian Source

Source:Israel channel 14,Palestinian Source.

Verfied by: War intel page on X


UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina Mk254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
 
Aisee hawa Muqawama wa Hamas ni balaa yaani unaambiwa wako fit kinoma.Israel hajafanikiwa kuua hata mmoja anabakia kuua raia na watoto wasio na hatia.Allahu akbar!
 
Nimeona Aljazeera wakitoa taarifa hiyo kwa kusema alqassam wametoa vidio wakionesha wanavyowapiga risasi askari wa Israel lakini kwa miiko ya uandishi hawakuzionesha picha hizo.
Tangu asubuhi leo kumekuwa na tangazo la Hamas kuwa wanapambana vikali vikosi vya vifaru vilivyojaribu kuingia Gaza upande wa kaskazini.huku kikundi cha Alqassam kikisema kimewapiga ambush askari hao upande wa kusini wa Gaza.
 
Si haba…
 
Updates: The Battle of Beit Hanoun stopped a short while ago, during which the army and US Marines (Delta) launched a major attack by tanks and personnel. This battle ended with heavy losses, in which 43 soldiers were captured, including 26 Marines and 17 Israeli Army soldiers, and 67 Marines and Israeli Army soldiers were killed. This is considered a painful blow at the beginning of the ground movement. As a result, the US Chief of Staff was contacted and asked to stop the attack
 
Taari Taarifa ya uwongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…