Achana na hizo hadithi za kitaahira. Mungu hayupo.Mkono wa Mungu uwe juu yako na ghadhabu ya Mungu iwake juu yake mpaka ukiri kuwa yupo Mungu akupaye pumzi hii bure. Mungu anakuhitaji,tena wewe utakuwa Mwalimu mzuri sana kufundisha wengine.
Quote my words.
MM SIUGULII MSUMIVU BALI WAISLAMU NA WAARABU NDIO WANAOUGULIA MAUMIVU KUHUSU KINACHOENDELWA GAZA.Naona unavyo ugulia maumivu bila shaka kisu kimepiga mpaka kwenye moyo.
Bila shaka na ww utakuwa miongoni mwa warokole wanao watajilisha akina zumaridi.
Kujifunza kweli ya Mungu sawa lakini kujifunza yasiyo kweli kwangu hapana kwani biblia inasemaBado upo unajifunza, maisha na hata mambo ya 'rohoni' ni kujifunza kila siku.
Aliyehitimu na kuyajua yote ni Yesu Kristo peke yake.
Wewe ndio unaigopa kitu kisichokuwepo. Mungu hayupo. Ni kiumbe kisichokuwepo mahala popote.Naona umemwita akikuitikia usije ukalaumu......huu ni uovu wa kiwango cha juu hakuna kinachopita hapo.
Hutaki kuamini hahaha ndiyo hivyo tena 😂Mzushi wewe
Singing mkono hoja. Tanzania inafaidika zaidi na uhusiano wake na Israel kuliko mnavyofikiri.Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Mzozo kwani umeanza lini?Na wapalestina walichofanya kupitia Hamasi..Nani alianzisha unyama!???
Hao makamanda wa Hamas wanaokufa mbona humuhusishi Mungu? Mpuuzi mmoja weweAliyekua anachekelea vifo vya watoto huko Gaza, kuweka vibonzo na kukejeli na kushangilia vifo vya watoto huko Gaza kifo cha Gafla
Jamaa mmoja maarufu mitandao hususan huko X na mfuasi kindakindaki wa Israel wa mtandaoni aliyejipatia umaarufu kwa kuwacheka na kuwakejeli watoto wa Gaza na vifo vya wapalestina amefariki ghafla kwa Shambulizi la Moyo
Ni majuzi tu alitoka kupost mtoto wa Kipalestina aliyejeruhiwa vibaya kwa vita na kuandika maneno ya kejeli na kumuedit kwenye Tangazo la vipodozi huku akitia kejeli
Hili tukio lilisababisha hasira sana miongoni mwa maelfu huko hususan huko X akilaaniwa na kila mtu.
Amefariki kwa shambulizi la Ghafla la Moyo hii ndo inaitwa Karma kweli Mungu hachezewi, yuko wapi sasa?
Tujifunze sana kupitia hili.
View attachment 2799606View attachment 2799607View attachment 2799608View attachment 2799609View attachment 2799610View attachment 2799611
Mlidanganya Humu kwamba israel imepigwa na kurudi nyuma ila mpaka muda huu jeshi la Israel inakaribia kuitaka kabisa Gaza.Naona unavyo ugulia maumivu bila shaka kisu kimepiga mpaka kwenye moyo.
Bila shaka na ww utakuwa miongoni mwa warokole wanao watajilisha akina zumaridi.
Kama kuchangia kisomi ndo huku kwako basi elimu ya tz ni takataka zaidi ya kinyesi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3].MM SIUGULII MSUMIVU BALI WAISLAMU NA WAARABU NDIO WANAOUGULIA MAUMIVU KUHUSU KINACHOENDELWA GAZA.
MIMI NACHANGIA HOJA KISOMI NA SIO KISHABIKI
NB: USHAHIDI UNAONYESHA KUA WAARABU NA WAISLAMU NDIO WATU WAJINGA KABISA WA MWISHO DUNIANI.
Hiyo ramani ni kwa mujibu wa nani?Mlidanganya Humu kwamba israel imepigwa na kurudi nyuma ila mpaka muda huu jeshi la Israel inakaribia kuitaka kabisa Gaza.
Mkuu sasa Israel kuvamiwa na hamas tarehe saba ni aibu?Kama kuchangia kisomi ndo huku kwako basi elimu ya tz ni takataka zaidi ya kinyesi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3].
Kitendo cha ww kufurahia mauaji ya watoto yanayo fanyika gaza kinadhihilisha kile nilicho kisema kuwa ww na warokole wenzio hamna akili.
Bolivia,Chile,na Colombia ambao ni wagaratia wenzio na ambao hawana uhusiano wowote na waarabu wamekata uhusiano wa kidipromasia na Israel kwa sababu ya mauaji ya kijinga inayo yafanya ili kuficha aibu ya kushindwa October 7.
Hivi duniani kuna ujinga zaidi ya kuamini kuwa utajiri unakuja kwa kuombewa we sio kufanya kazi?
Hivi kuna ujinga zaidi ya kuamini eti chumvi ya upako wa mwaposa inaweza kukufanya ukapata kazi ya uinjinia hata kama hujasoma?
Hivi kuna ujinga zaidi ya kwenda uwanja wa ndege na kutaka kwenda Ulaya bila visa eti unaenda kuwahubilia injili?
Hivi kuna ujinga zaidi ya kushindishwa njaa mpaka kufa eti mnaenda kukutana na yesu hali yakuwa anaye waambia hivyo yy anakula ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hawatakujibu hili swala labda dunia isimame [emoji28]asingefanya hvyo asingekufa ?
Hii habari naona hamjaipenda,mnajaribu kuibagaza.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo hamna kitu ni muongo na taarifa zake zote ni za uongo
Wanawakaza..😂😂😂sipati picha wanavyopiga kelele😂😂😂Acheni ni uongo Israel wanawakaza kinoma hao Hizbullah, na hawana uwezo wowote wa kumsumbua IDF make moto wanaokipata ni zaidi