LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Toa pumba za Biblia hapa.

Hiyo Biblia yenu imeandika upumbavu na ushubwada ulio pumbaza hizo akili zenu.
 
Nakubali lakini bahati mbaya uwa sitaki ushauri kutoka kwa Mashoga.
......kasi yako ya utotoni leo unaikana ? ....mbona sio siri ? Suala la muda utaanikwa....muda kidogo
 
Nakazia [emoji419][emoji375]
 
Bila baba yako kuuangaikia uchi wa mama yako ww usingekuwepo kuwepo au ww bila kuhangaikia uchi wa mkeo hao watoto wanao kuita baba usingekuwa nao hivyo huo uchi usiuchukulie poa maana ni unaifanya dunia iendelee kuwepo.

Kubali ukatae nyinyi warokole ni watu hovyo na mbaya zaidi ww umechanganya na sifa za kihaya ndo imekuwa to much.
 
Mungu hayupo na hakuna Mungu aliyeweka wapalestina Israel.

Waisraeli ni wavamizi wa Ardhi ya Wapalestina.
 

Wale mazayuni ni hovyo sana. Lakini utashangaa wengine wanaita eti taifa teule. Labda teule kwa mashetwani.

😂 🤣 😆
 
Israel ni Taifa la Mungu, labda ungeshauri tutume Jeshi likawasaidie kupiga hao wahaini. Nakwambia hivi Israel itazidi kubarikiwa na haitoanguka,anayejaribu kuiangusha ataanguka yeye. Ailaaniye atalaaniwa,aibarikiye atabarikiwa.
Ndivyo ulivyo pumbazwa?
 
Hakuna kitu kinachomtia hofu zaidi Netanyau kama maneno ya Abu 'Ubaydah (Msemaji wa jeshi la Hamas).
Mkuu acha ujinga wewe unadhani Benjamini anaogopa ngonjera za waarabu na waajemi.
TOKA MWAKA 1967 WANAPIGA NGONJERA KUTOKA KIZAZI MPAKA KIZAZI HAKUNA JIPYA
SINCE PLO,PLFP,HAMAS........ect!!!
 
Mkono wa Mungu uwe juu yako na ghadhabu ya Mungu iwake juu yake mpaka ukiri kuwa yupo Mungu akupaye pumzi hii bure. Mungu anakuhitaji,tena wewe utakuwa Mwalimu mzuri sana kufundisha wengine.
Quote my words.
Mungu huyo hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Vita yeyote ile kupoteza ni lazima kwa pande zinazohusika nayo. Kwa hali ilivyo hata hao ni wachache.
Kadiri unavyojitokeza kushambulia ndo unajulikana ulipo.
Munimu mwisho wa siku malengo yamefikiwa? Hilo ndo muhimu sana.
Gen alitaka Israel ishinde vita bila wanajeshi kufa! Nadhani general amekurupuka ,japo hajasema chanzo cha taarifa hiyo, yeye mwenyewe hawezi kuwa ni chanzo, kwa sababu hayupo uwanja wa vita.
 
Maneno ya kuwafariji tu!
 
Umeanza na "ligogo ama lihehe" halafu ukamalizia na "wangoni ama wahehe". Tuombe radhi sisi wagogo.
 
Sio mimi nimaandiko, atakaye ilaani israel atalaaniwa , atakaye ibariki atabarikiwa
Hayo unayo ita Maandiko ni pumba.

Hao Israel ni wavamizi na wahalifu wa kivita kama ilivyo Urusi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…