Thibitisha Mungu yupo.Zab 122:6-8 SUV
Utakieni Yerusalemu amani; Na wafanikiwe wakupendao; Amani na ikae ndani ya kuta zako, Na kufanikiwa ndani ya majumba yako. Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu Niseme sasa, Amani ikae nawe.
SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu,ndio maana USA yupo bize sana na israel
Hata wapalestina wangekuwa wakristo kwa asilimia mia kwa walichokifanya 07/10 kinastahili kichapo kizito mno.Gaidi ni kansa kwa ulimwengu wa kileo.Magaidi wawahishwe kwenye bikra 72 tuuNani kakudanganya Wapalestina wote ni waisilamu? hapo Chile pekee kuna Wapalestina kama laki 5 Karibia wote Wakristo, hapo Lebanon kuna Wapalestina Wakristo kibao.
Na si useme tu kweli Usa ndio kasababisna Wakristo wengi wakimbie Lebanon? Huyo Bwana wako unaemtetea kila siku na kipenzi chake Israel ndio wameua Wakristo wengi na kuwafanya wakimbilie South America, walipotoka hapo wakaenda Iraq kupeleka Democracy wakaua Wakristo wa Kutosha walioishi kwa Amani chini ya Sadam na sasa hivi wanawamaliza wengine Assyrian Christians huko Syria.
Maneno ya Michael Amon Raisi wa Lebanon ambaye ni kiongozi wa hao Wakristo.
"We chose this long-term political option, because we knew that the interests of the West do not lie with us. Its interests lie with Israel, on one hand, and with the oil, on the other hand. We are not included among its interests at present. The only thing it cares about is resolving the problem of Israel at our expense, through the naturalization of the Palestinians in Lebanon, and pleasing the oil-producing countries, because its material interests lie there. Therefore, we had to choose a policy of coordination with all elements of Lebanese society, and with our neighboring countries, in order to build strong, solid, and mutual relations. Lebanese society in general, and the Christians in particular, are not used to this, and therefore, it has aroused fear and concern. However, our confidence in ourselves, in the choice we made, and in our views have made it possible for us to stand before you, and to ask you to give the efforts we are undertaking a chance. A short while ago, in Doha, we saw the results. All the Christians in the Middle East, all the Christians in the Middle East are fleeing, while the Christians of Lebanon are returning. The forecasts of the entire world. For 25–35 years, we have been reading that the Christians in the Middle East are becoming extinct. Western policies have led the Christians in the Middle East towards extinction. Western policies have not left a single Christian in Palestine and the holy places. Western policies have not left a single Christian in Iraq. They intended to get rid of us by marginalizing us, and by treating us as a superfluous element in society."[91]
Wafilisti wanaaangamia kama kuku endelea kujifarijiIngekuwq vita imeisha ila kila siku mayahudi wanazidi kuangamia
Wakristo mnapaswa kufahamu kuwa Jerusalemu yetu sio ile pale karibu na Gaza, ila ni Mbinguni, hivyo muache kushabikia vita vya Israel vs Palestina kwani hao wote ni wapagani na hakuna hata mmoja wapo ana upendeleo wa pekee kwa Mungu Mwenyezi. Mjue vilevile kuwa "Israel" wa sasa sio hao akina Netanyau, bali ni wale waliompokea Kristo Yesu na kuishi sawa na mapenzi yake!Zab 122:6-8 SUV
Utakieni Yerusalemu amani; Na wafanikiwe wakupendao; Amani na ikae ndani ya kuta zako, Na kufanikiwa ndani ya majumba yako. Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu Niseme sasa, Amani ikae nawe.
SUV: Maandiko Matakatifu ya Mungu,ndio maana USA yupo bize sana na israel
Wewe bado hujajua mambo,ni kweli ila Mungu Huwa haachi agano lake hata kama Hawa jamaa walimtenda dhambi,mwisho wa nyakati watarudiwa tena na BwanaWakristo mnapaswa kufahamu kuwa Jerusalemu yetu sio ile pale karibu na Gaza, ila ni Mbinguni, hivyo muache kushabikia vita vya Israel vs Palestina kwani hao wote ni wapagani na hakuna hata mmoja wapo ana upendeleo wa pekee kwa Mungu Mwenyezi. Mjue vilevile kuwa "Israel" wa sasa sio hao akina Netanyau, bali ni wale waliompokea Kristo Yesu na kuishi sawa na mapenzi yake!
Usiangalie kilichoanza tarehe 7, angalia miaka 75 iliopita, hayo ya tarehe 7 ni matokeo ya mateso ya zaidi ya miaka 70 imagine wewe ni mpalestinaHata wapalestina wangekuwa wakristo kwa asilimia mia kwa walichokifanya 07/10 kinastahili kichapo kizito mno.Gaidi ni kansa kwa ulimwengu wa kileo.Magaidi wawahishwe kwenye bikra 72 tuu
Hawaruhusiwi kuwa navyo.Hivi nchi ya Palestina haina Vyombo vya ulinzi (Majeshi ya Ardhini, anga na maji)?
Sisi ni mungu, na maneno yetu ndiyo yenye uungu, kwa kubariki na kulaani, maneno yetu yakiambatanishwa na maneno ya malaika fulani fulani huweza kutengeneza au kuzua jambo, kufisha, kutia ugonjwa au kujulishwa yajayo!Thibitisha Mungu yupo.
Watoto ni wengi sana humu utatumia nguvu kubwa kuwaelekeza lakini sifikiri kama wapo tayari kuelewa.Usiangalie kilichoanza tarehe 7, angalia miaka 75 iliopita, hayo ya tarehe 7 ni matokeo ya mateso ya zaidi ya miaka 70 imagine wewe ni mpalestina
1. Ndugu zako wanauliwa na Israel viungo vyao vinatolewa vinauzwa
2. Watoto wenu wanachukuliwa kama Target za Sniper mtu akijiskia tu anachukua bunduki yake anaenda kusnipe watoto, hii video inaonesha mtoto anachunguliani tu barabarani kauliwa, na hapo sio Gaza ni western Bank ambapo hakuna vita.
View attachment 2804837
3. Ardhi yenu inapokonywa kila siku watu wengine wanaletwa.
4. Hamna haki yoyote ndani ya Nchi yenu wenyewe ukitaka kusafiri tu mpaka Ruhusa ya Israel
5. Maji, umeme, na huduma Nyengine mpaka Israel akubali
Ungeweza kuishi mateso kama hayo kwenye Nchi yako mwenyewe? Sisi hatukupitia mateso kama hayo ila unaona kulikua na Vita vya Majimaji, kina Mkwawa, kimweri na wengine wakapigana sembuse wao?
Hujathibitisha Mungu yupo, umeweka maandishi tu ambayo hayathibitishi Mungu yupo.Sisi ni mungu, na maneno yetu ndiyo yenye uungu, kwa kubariki na kulaani, maneno yetu yakiambatanishwa na maneno ya malaika fulani fulani huweza kutengeneza au kuzua jambo, kufisha, kutia ugonjwa au kujulishwa yajayo!
-"HAPO MWANZO KULIKUWA NA NENO"
Kuna Video hata Siwezi kuiweka humu Inatisha, Israel amewaambia wananchi watoke North Gaza waende south, then Ule Msafara wa wanaokimbia vita akaupiga ni vitoto toto tu vimetapakaa kibao barabarani vimeuliwa. Barabara nyeupe kabisa huwezi sema labda kakosea TargetWakati mwingine weka utu mbele, ambulance na magaidi wapi na wapi? Mlishasema hamas wapo kwa handaki sasa hayo mabomu kwa wagonjwa na watoto ni nini?
Hivi unajua zaidi ya 40% ya waliouwawa so far ni watoto ? Na ni mjinga tu anayeamini hamas ikimalizwa ndio upinzani utaisha obvious hao watoto watalipiza kisasi tu iwe hamas iwe jina lingine
-Akili ya wapalestina kujitahidi kuonyesha Maiti za watoto ili waonewe huruma inanistaajabisha sana, ni jukumu la wapalestina kuikanya Hamas ikome kuanzisha mashambulizi ambayo mwishowe yanakuja kuleta maafa makubwa namna hii, pia dunia ni lazima iilaani Hamas kwa kusababisha vifo vya watu wasio na hatia., nashangaa dunia kutotoa karipia juu ya uchokozi wa HAMAS 7th October 2023.Watoto ni wengi sana humu utatumia nguvu kubwa kuwaelekeza lakini sifikiri kama wapo tayari kuelewa.
Utoto una kusumbua siku ukikua na hayo mavuzi yako kuanza kuota mvi ndio utajua kwa nini wapalestine wana resist against walowezi, utajua kwa nini Babu na Bibi zako walikuwa tayari kuwa na imani ya kwamba risasi zitageuka maji ili tu kuwatia ujasiri kupambana against ushenzi wa wakoloni na wavamizi wa nyumbani kwao.-Akili ya wapalestina kujitahidi kuonyesha Maiti za watoto ili waonewe huruma inanistaajabisha sana, ni jukumu la wapalestina kuikanya Hamas ikome kuanzisha mashambulizi ambayo mwishowe yanakuja kuleta maafa makubwa namna hii, pia dunia ni lazima iilaani Hamas kwa kusababisha vifo vya watu wasio na hatia., nashangaa dunia kutotoa karipia juu ya uchokozi wa HAMAS 7th October 2023.
Ndio nini hiki unaandika? Sisi kumfukuza Idd Amin ni makosa? Ukraine kumtimua Urusi katika ardhi yake ni makosa? Ila Palestina wakiwavurumusha wavamizi eti wanaitwa magaidi!!-Akili ya wapalestina kujitahidi kuonyesha Maiti za watoto ili waonewe huruma inanistaajabisha sana, ni jukumu la wapalestina kuikanya Hamas ikome kuanzisha mashambulizi ambayo mwishowe yanakuja kuleta maafa makubwa namna hii, pia dunia ni lazima iilaani Hamas kwa kusababisha vifo vya watu wasio na hatia., nashangaa dunia kutotoa karipia juu ya uchokozi wa HAMAS 7th October 2023.
Hapo ndipo unposhindwa luelewa maana ya mpigania haki na mpigania tumbo.Wanachapwa mno wee endelea kujifariji mzee.wangu
Ule ni ushindi mkubwa, na vijana wanaendelea kuwatia wazimu wayahudi, jionee kimbembe cha leo hiki:Hata wapalestina wangekuwa wakristo kwa asilimia mia kwa walichokifanya 07/10 kinastahili kichapo kizito mno.Gaidi ni kansa kwa ulimwengu wa kileo.Magaidi wawahishwe kwenye bikra 72 tuu
Sheria za kimataifa zinasemaje baada ya mtu/Jamii fulani kukaa / kuishi pahala kwa zaidi ya miaka 50.+........!Ndio nini hiki unaandika? Sisi kumfukuza Idd Amin ni makosa? Ukraine kumtimua Urusi katika ardhi yake ni makosa? Ila Palestina wakiwavurumusha wavamizi eti wanaitwa magaidi!!