LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Na hapo usisahau usa naye yupo ground anasaidia lakini wanapata tabu na kikundi cha mgambo ndio maana netanyahu mashambulizi ya hezbollah anayavumilia anajua akilianzisha kule patakuwa hapakaliki
Ndo ujue jeshi la Israel ni nyanya sana kuwa pamoja na kupigana na wapiganaji wanao tumia silaha za kienyeji bado ameshindwa kuwashinda alafu unajiita jeshi bora duniani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hayaajinga ysilolijua ni kuwa bila kupiga hayo magari hayajulikani alipojificha .
Matokeo yamagari kupigwa na wanajeshi kuuliwa ni Idf kuingia na kuimiliki Gaza
 
Swali langu kwa waarabu mliopo Tanzania, kwa nini hawa Hamas wanajificha kwa raia as hospitali, shule, makanisa nk?
Hawajifichi shimoni Tena,unataka tuwaamini Israel!?.. Israel hawaaminiki,waongo tangu zamani,Sasa hivi wamepunguza idadi ya wahanga wa shambulio la Hamas kwa 200+,kuhusu kuchinja watoto ilikua uwongo tu hawana ushahidi,kombora lilitua hospital halikua la Hamas ni lao,bado unawaamini!?
 
Na hapo usisahau usa naye yupo ground anasaidia lakini wanapata tabu na kikundi cha mgambo ndio maana netanyahu mashambulizi ya hezbollah anayavumilia anajua akilianzisha kule patakuwa hapakaliki
Kupigana na gaidi inabidi na ww ugeuke Gaidi.

Nikupe tu za ukwl IDF wangeamua waende kigaidi gaidi, Gaza ilikuwa inafutwa ndani ya week tu. Ndo maana unaona wanapoamua kuwa aggressive Dunia nzima inaanza kulia.

Kama unataka nao IDF waende kigaidi bila kujali Casualties za civilians waruhusini tu tuone moto wake.
 
Ndo kusema Hamas hana chake tena pale Gaza. IDF wapiga picha ya pamoja wakiwa ndani ya Bunge la serikali ya kijihad ya Hamas.
Kweli mwaka huu israel mtoa roho kakamia.
Pale Netanyau aliposema usalama wa Gaza itakuwa ni wajibu wao baada ya vita ,nilijua tu hii vita ipo kati ya 65 hadi 90 . Kazi imeisha kilichobaki ni kusafisha tu.
Ushahidi wa mateka umewanyamazisha waliokuwa wanasema Israel inaua raia
 
Uzima wa milele ndiyo, wewe Mungu wa kweli na yesu uliyemtuma...so yesu ni mtume tu siyo Mungu,we kumwabudu umetoa wapi!?
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.(Yohana 14:6)
Mkuu kimbia uje kwa Yesu maana hata sasa upo katika upotevu wa milele,nakuhakikishia hapo ulipo huna amani,njoo kwa Yesu upate amani ya nafsi duniani na Kisha upate uzima wa milele.
 
Pale Netanyau aliposema usalama wa Gaza itakuwa ni wajibu wao baada ya vita ,nilijua tu hii vita ipo kati ya 65 hadi 90 . Kazi imeisha kilichobaki ni kusafisha tu.
Ushahidi wa mateka umewanyamazisha waliokuwa wanasema Israel inaua raia
Sema yale magaidi ya Hamas ni jihadi kweli kweli inabidi uwe na roho ngumu kama jiwe kupambana nayo. Ogopa sana kupigana na jitu lisilogopa kufa 🤣.
 
Hivi maana ya mrundikano imebadilika?,au mahaba Niue ya mtoa mada ndio anaamua kupotosha kwa makusudi maana ya neno mrundikano.
 
Hawatakaa kwa amani katika hiyo ardhi
Gaza haitakuwa na tunnels wala viwanda vya kutengeneza rockets huu ndiyo mwisho wao Hamas kumbuka kilakitu kinakuja na sababu yake hata ule uchokozi ambao HAMAS wamefanya October 7 ilikuwa njia Tu ya kwenda kupotea Kwa kundi lao.
Ndani ya Gaza hakutakuwa na kikundi chochote cha wanaharakati
 
Propaganda za Wazayuni wa Ukonga
 
Mimi nipo kwa Mungu aliyemtuma yesu,we endelea kumuabudu yesu uone utavuna nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…