Wanaukumbi.
Ripoti kwamba Jeshi la Iran limejiweka tahadhari na kuanzisha mazoezi makubwa ya kijeshi lipo tayari kwa vita kuanzia sasa hivi.
==========================
BREAKING: Reports that Iran's Armed Forces raised their alert level and launched a large military exercise.
View attachment 2820828
Source: Israel Today.
umempa jibu linalomfaa. mamaeeQur'an ni kitabu takatifu hakishikwi na wenye mavi mpa akajitawaze awe msafi.
We ukisha wacha tembea na mavi karibu ukisome kitabu hicho utapata faida.
Nyengine zitafuata mpaka wengine hawaamini wanasema ni video game.
Walikata umeme gaza halafu wanaenda hahaha. hamas wanawaokota kama maembe hawajui Hamas wanatokea wapi na wanajeshi wengi ni mashoga.
Hezibolla wameteketeza kambi na kikosi kizima Cha IsraelHakuna vita ngumu kama urban warfare, imagine unapita katikati ya barabara ya mtaa na silaha halafu kulia na kushoto kuna majengo mabovu, mbele kuna magari mabovu. Hujui adui yupo kajificha wapi, unashangaa tu risasi zinatokea upande wa kulia kwenye kadirisha ka ghorofa lillilotelekezwa, unaanza kukimbia ku take cover kuja kuangalia wenzako kama wanne wapo chini.
Hii inapelekea Israel kupiga kila mahala baada ya kuchanganyikiwa, Hawa Hamas wanatoka nyumba nyingine kuelekea nyingine kupitia tunnels.
Lakini ukimwambia myahudi wa Namtumbo hakuelewi, Hamas hadi kuchimba hizo tunnels ina maana wanazifahamu sana sehemu nyingi na hayo mazingira kuliko hao vijana wa IDF, hata mission ya Navy Seal kwenda kummaliza Osama walifanya mazoezi kwa miezi kwa mfano wa nyumba ya Osama, hivyo vitani kufahamu maeneo au mitaa hasa urban warfare ni advantage kubwa,Hamas wanajua pa kuingia na kutokea, ku take cover, hao madogo wa IDF lazima waujue tu utamu wa asali.
Kwa hiyo Hamas kaingia makubaliano ya kusitisha mapigano peke yake,we unafikiri kweli!?..netanyahu kaitisha vikao na Baraza la mawaziri na usalama kujadili sitisho la VitaHebu tuambie zinaonyeshwa na channel gani? Lini Netanyahu amekubali kukaa mezani na Hamas?
Mimi nimeona BBC kiongozi wa Hamas akieleza jinsi Qatar ilivyofanikisha mazungumzo ya kusitishwa mapigano kusini mwa Gaza na kuachiwa Wapalestina zaidi ya 300 kwa kubadilishana na mateka wa Israel.
Ninyi hamna tofauti na makaburi yaliyopakwa chokaa, ila kwa ndani mifupa mitupu. Huko kutawadha kwawafaa nini ili hali uchawi, ubakaji, kufuga majini na uzinzi /uasherati kwa tamaa za kuoa wake wengi vyote vyenu.?.Qur'an ni kitabu takatifu hakishikwi na wenye mavi mpa akajitawaze awe msafi.
We ukisha wacha tembea na mavi karibu ukisome kitabu hicho utapata faida.
Yani shujaa Netanyahu abembeleze magaidi, you can be serious. No cease fire anywhere mpaka pedo zote za Wafilisti zikatwe.Hamas ndio anabembelezwa sasa hivi na Israel vita isimame, na Hamas inasema lazima makubaliano yaendano ya wanayohitaji sio Israel inavyohitaji, hapo kazi ipo.
Kwani hukuwahi ona parade za HamasWanaukumbi.
Ripoti kwamba Jeshi la Iran limejiweka tahadhari na kuanzisha mazoezi makubwa ya kijeshi lipo tayari kwa vita kuanzia sasa hivi.
==========================
BREAKING: Reports that Iran's Armed Forces raised their alert level and launched a large military exercise.
View attachment 2820828
Source: Israel Today.
We nae una vituko, unakataa wakati waziri wa ulinzi wa Israel na vyombo vyote vya habari vya Israel vimesema inabdidi Israel iingie kwenye maamuzi magumu kusitisha vita na kukaa mezani na Hamas.Yani shujaa Netanyahu abembeleze magaidi, you can be serious. No cease fire anywhere mpaka pedo zote za Wafilisti zikatwe.
Niliona la Israel mpaka leo limeshindwa kuokoa mateka.Kwani hukuwahi ona parade za Hamas
Makombora yao wamemua wakichelewa wataisha wote.Abu Hamza: We announce the death of the settler, “Hanna Katzir,” whom we had previously expressed our willingness to release - for humanitarian reasons - but the enemy’s procrastination led to the loss of her life. In light of this announcement, we renew our affirmation of disclaiming our responsibility towards our enemy prisoners in light of the barbaric and frenzied bombing on every inch. In the Gaza Strip
November 21, 2023