Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Shukrani sana bro, toka hii habari itoke, nilikuwa na doubt. Hii habari yao ya kuokoa mateka wawili imekaa kipropaganda sana. Nilikuwa najiuliza kwanini hii hapari itoke now wakati Israeli inapata upinzani mkubwa wa dunia ktk plan yake ya kutaka kuivamia Rafah? Nikahisi Israel inataka kuishawishi dunia na hiyo plani yaoUnaowaongelea ni hawa:
View attachment 2902220
Kwa hivyo waliokolewa lini?
View: https://twitter.com/Shayan86/status/1757190800155255078
Mtamezeshwa si matango pori tu, bali hadi mavi!
Shukrani sana bro, toka hii habari itoke, nilikuwa na doubt. Hii habari yao ya kuokoa mateka wawili imekaa kipropaganda sana. Nilikuwa najiuliza kwanini kwanini hii hapari itoke now wakati Israeli inapata upinzani mkubwa wa dunia ktk plan yake ya kutaka kuivamia Gaza? Nikahisi Israel inataka kuishawishi dunia na hiyo plani yao
Inawezekana maujiko waliokuwa wanapewa Israeli huko nyuma hazina uhalisia halisi. Ninaona aibu mimi kwa Israel kuja na propaganda ya kijinga namana hii. Manyumbu wengi wameshaanza kuwapa maujiko ambyoyo hawastaili hata kidogo
Last week Mwamba Putin alisema haiwezekani kuwashinda magharibi kwa propaganda. Israel ndio kinala wa propaganda na hii waliokuja nayo sasahivi inawatia aibu sana. Hamas walishawaachia hivyo vizee siku nyingi inachekesha kuona kikosi maalumu cha komando wa IDF kuitengenezea movi
Safi sana piga piga hapo Rafah ndio ngome ya mwisho ya magaidi wa dini, ukizingatia Misri imefunga mpaka sijui mtakimbilia wapi.
Mzee ana matatizo ya akili, huwa anapotaza kumbukumbu na ndio maana kuna teteai hataweza kugombea ktk uchaguzi ujaoMisahafu inaandika:
"Mtu hunena yaujazayo moyo wake."
View attachment 2902221
Amesikika rais Biden kwenye press conference na mfalme Abdullah:
View attachment 2902223
View attachment 2902225
Yetu macho, kwani njia ya mwongo ni fupi.
Ngoja tuone.
Mzee ana matatizo ya akili, huwa anapotaza kumbukumbu na ndio maana kuna teteai hataweza kugombea ktk uchaguzi ujao
Wanadhani na wao wataishi milele?Misahafu inaandika:
"Mtu hunena yaujazayo moyo wake."
View attachment 2902221
Amesikika rais Biden kwenye press conference na mfalme Abdullah:
View attachment 2902223
View attachment 2902225
Yetu macho, kwani njia ya mwongo ni fupi.
Ngoja tuone.
two state hapo mashariki ya Kati ni ndoto, marekani na mpumbavu mwenzake israel wanaendelea kufanya maigizo kila kukicha.
Yaani wanajiongelesha Halafu bado mtu anaendelea na operation na hakuna wanalofanya.
Palestine aendelee kupambana mwenyewe Hakuna mtu wa kumsaidia hapo zaidi ya unafki wa magharibi.
Kama wameamua kufia katika ardhi yao wapambane tu hakuna muujiza wakuja kuwasaidia.
Wanadhani na wao wataishi milele?
Huu ndio ukweli mchungu. Hakuna atakayekuja kuwasaidia hapo. Kuwepo kwa two state hapo ni mpaka marekani ashushwe kuwa super power kitu ambacho kiuhalisia bado kabisa hilo kutokea.Nguvu za maskini ni nguvu zake mwenyewe.
Ikumbukwe:
Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS
Unaowaongelea ni hawa:
View attachment 2902220
Kwa hivyo waliokolewa lini?
View: https://twitter.com/Shayan86/status/1757190800155255078
Mtamezeshwa si matango pori tu, bali hadi mavi!
Iniume wapi? Wewe si ndiye huyu?
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
Kwani umeanza leo kumeza matango mwitu?
1. Kwamba mateka 2 katika wote ni % ngapi?
2. Bado taarifa za kuokolewa mmojawapo hapo zilikuwapo tangia mwaka jana:
View attachment 2902261
View: https://twitter.com/Shayan86/status/1757190800155255078?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1757190800155255078%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
3. Bila shaka mayahudi ya Misigiri na Rabbi wao mkuu (MK254) yanaamini mateka wote walishaokolewa:
Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa
Hakuna kukimbia.Ni kufa au kurudi nyumbani.
Yatima huyu DRC:
View attachment 2902270
Anamuamusha mzazi wake marehemu waondoke.
Hata Gaza ni hivi hivi. Ni wapumbavu pekee wenye kuweza kukenua Kwa bashasha, kishabiki kwenye madhila ya vita kama haya.
Juzi kati alisema Al Sisi ni rais wa Mexico:
'My memory is fine' - Biden hits back at special counsel
Na makolokolo kibao.
Shujaa wa MK254 katika senility.
Ujinga mzigo kwahiyo usichokielewa ni nini hapo?Unaowaongelea ni hawa:
View attachment 2902220
Kwa hivyo waliokolewa lini?
View: https://twitter.com/Shayan86/status/1757190800155255078
Mtamezeshwa si matango pori tu, bali hadi mavi!
Mbona mmekazania ya wapelestina wakat hapo jirani congo. Sudani watu wanakufa kwa mtindo huo huo au mnajizima data?Yatima huyu DRC:
View attachment 2902270
Anamuamusha mzazi wake marehemu waondoke.
Hata Gaza ni hivi hivi. Ni wapumbavu pekee wenye kuweza kukenua Kwa bashasha, kishabiki kwenye madhila ya vita kama haya.