Wakuu hali ni mbaya maeneo haya ambapo mpaka sasa ripoti zinaeleza kuuwawa zaidi ya watu 400 katika shambulio la woga la maroketi lililofanywa kwa kuvizia na vikosi dhaifu vya Hamas hapo jana.
Tayari Israel imekwisha kufanya shambulio la kujilinda usiku wa kuamkia jumapili hii ambapo mabedui hawa zaidi ya 300 wameripotiwa kauliwa huku wengine 2000 wakijeruhiwa vibaya BBC imeeleza
Wakati wa shambulio hilo la Gaza dhidi ya Israel, wanamgambo wa Kipalestina walijipenyeza na kuingia Israel na kujaribu kuchukua udhibiti wa maeneo ya Waisraeli.
Mamia ya wapiganaji hao wa Kipalestina sasa wameuawa, jeshi la Israel linasema, kulingana na ripoti ya shirika la habari la Reuters.
Makumi ya watu wenye silaha wameshikiliwa mateka, jeshi liliongeza.
Israel ilisema hapo awali kuwa bado inakabiliana na wanamgambo katika maeneo manane.
Habari zaidi zinasema kuwa jumla ya Wapalestina 313 wameuawa na karibu 2,000 kujeruhiwa huko Gaza kufuatia mashambulizi ya anga ya kulipiza kisasi kutoka Israel tangu Jumamosi, kulingana na wizara ya afya ya Palestina.
Kufikia sasa Waisraeli 400 wameuawa na makumi ya wengine kutekwa nyara, Ubalozi wa Israel nchini Uturuki ulisema, ukinukuu Wizara ya Afya ya Israel.
Takriban watu 2,000 wanatibiwa hospitalini - 19 kati yao wako katika hali mbaya, ilisema