LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
JUST IN:One impact from the earlier barrage in an open area near Ben Gurion Airport. No injuries reported
 
Sikiliza kaka Mqundu...
PA inatawala West Bank.
HAMAS inatawala Gaza Strip.
Sasa yule Mumeo ambaye alikuwa ameomba UN security Council iwasaidie kutafuta amani alikuwa anaingilia nchi isiyomhusu?

Acha kutumia masabuli kufikiria? Kuna nchi inaitwa Gaza? Ushuuuuzi wewee.
 
Mi Ustaadhi ila sitaki vita iendelee wanaokufa ni watoto na Wanawake huku Hamas wakiwa wamejificha kwenye mahandaki na Mateka wao hii vita Iran na Hezboraa wapo ndani ingawaje hawajaongea Biden na Chama chake ni wachochezi sana na Vita tunaweza kuona ikiendelea kama Ukraine huko badala ya kutafuta suruhu...
 
Hamas nomna wamewaliza mpaka wanaomba msaada kwa Matekani mikwala mingii kumbe hanna lolote.
 
Israeli embassies worldwide on highest alert due to Gaza war for fear of terror attacks; diplomats not permitted to leave homes without security authorization
 
Israel imposes total blockade on Gaza ahead of assault: Electricity, fuel, food shipments stopped until further notice.
 
The bodies of young Israeli festival goers after the Hamas attack on the musical festival for peace near Gaza
 

Attachments

  • 20231009_125037.jpg
    33.7 KB · Views: 2
Mkuu labda nikulize wayahudi wapi hao wa Ethiopia na walifikaje? Ethiopia.
History inaonyesha wa Israel walikuja Africa baada ya njaa kupiga nchin kwao kwa Mgongo wa Yusuph ambaye alikua misri so baada ya kukaa mda mrefu Misri ndo wakaanza Kuwa watumwa na kutumikishwa kazi ndipo Mungu akawatoa huko kupitia Musa wakarejea kwenye Nchi yao ya Israel.

Sasa sijui Ethiopia walifikaje labda tu nikwambie Ethiopia n nchi ambayo Musa alikimbilia baada ya kupatikana kesi ya mauaji akakaa huko miaka 40 ndipo Mungu akamrudisha tena Misri kukomboa ndugu zake kutoka utumwani.

Aidha labda unazungumzia Ule uzao wa Sulemani ambapo Malkia wa Sheba ambayo ni Ethiopia Sasa alipewa Mimba na Sulemani maybe 🤔 ni huo uzao unauzungumzia lakin kama ni huo inakua Sasa n chotara.

Nisaidie hapo kwa ufafanuzi zaidi walifikaje Ethiopia?
 
Hizi story unazitoa wapi?
 
Naona kuna mjadala mkubwa sana humu unaochagizwa na imani zetu za kidini, naomba niwaulize swali na mnijibu kwa hoja zenye mashiko.

Nyie mnaosapoti waisrael kwa sababu ya dini ivi mnajua kuwa 90% ya wayaudi sio wakristo na wanauchukia ukristo?

Na nyie mnaosapoti wapalestina kwa sababu ya dini mnajua kuwa sio wote ni waislamu hususan wakazi wa WestBank?

#
SAYNOTOWAR
 
Things are wild, even Iranians stand with Israel🤣🤣🤣
Iranian fans across the stadium chanted: “Take that Palestinian flag and shove it up
 
Mungu wao Baal atakuwa amelala au yupo likizo[emoji23][emoji23] maana ppaka sasa wameshakufa 500 , huku 1
Mungu huyo hayupo.

Angekuwepo, Na ingekuwa kweli Israel ni Taifa lake teule, Ange zuia Roketi za makombora ya wapalestina zisiwafikie waisraeli.

Lakini Nothing happened.

Waisraeli hao wanakufa kama kumbikumbi.
 
Mkuu hii vita haiwezi kukoma kwa sasa. Hamas walifanya timing kubwa, tena kwa asilimia kubwa wakishambulia watu waliokuwa kwenye sherehe zao huko. Wale magaidi ukiwaangalia vizuri, kuna watu flan siyo weupe, ni kama Wasomali au Wahabeshi au Wairan. Wakati wa mashambulizi haya wananchi wakishangilia kwa furaha.
Israeli kashawazibiti na anakaribia kufagia wale waliobakia ndani ya Israeli. Mpaka sasa Israeli hajaanza vita au kulipiza kisasi, katafuta silaha za kutosha tena zitakazopunguza vifo kwa askari wake. Baada ya hapo Gaza itawaka moto, watakaangwa ipasavyo. Huu siyo muda wa kujali wanawake na watoto, adabu inapaswa kufuata mkondo wake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Iran imesema ikishambuliwa itaelekeza mashambulizi Israel kutokea Iraq Yemen Lebanon na Syria

BREAKING:

Iranian officials say that if their country is attacked, there will be strikes on Israel from Lebanon, Yemen and Iraq, as well as the sending of fighters from Syria.
 
Nani ana uthubutu wa kurusha hata risasi iran?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…