Yanayonikuta London, Uingereza - Part 1

Yanayonikuta London, Uingereza - Part 1

Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
🥺🥺 Pole mkuu Ila ninge shauri unge ludi home kwanza kwa mda Kama Ina wezekana iki wezekana hata kwa kutoloka

huenda umezungukwa na watu mashetani bila kujua wataku poteza mkuu
 
Nje upweke Ni nouma. Ila ukipata k ya kizungu ikakupenda patakuwa patamu mno. Anakupigania kinyama yaani Ile kingese
 
😀
Umenichekesha sana, hebu rudi tuendelee
Unasema unafanya kazi hospitali, kitengo gani ?
 
🥺🥺 Pole mkuu Ila ninge shauri unge ludi home kwanza kwa mda Kama Ina wezekana iki wezekana hata kwa kutoloka

huenda umezungukwa na watu mashetani bila kujua wataku poteza mkuu
Nunua Toka UK weka episode 2 basi
Huyo yupo hapa hapa Tanzania, alichoandika ametumia tu Fasihi ili kufikisha ujumbe lakini ukweli wa hicho alichosema ni kwamba tukio hilo limefanyika hapa Tanzania. Na uwezekano wa huyo mtu kuwa 'Agent wa Wavaa Kaunda suti' ni mkubwa sana, zaidi ya 98% kwa sababu kutokana na matokeo ya utafiti/uchunguzi fulani ambao umefanywa na bado unaendelea kufanyika imethibitika beyond the reasonable doubt kwamba tukio hilo wamelifanya hapa Tanzania ktk mikoa miwili ya Dsm na Migogoro, likiongozwa (Masterminded) na kiongozi wao aitwaye alexander d.m.
 
Part 2: Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong. Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa mitaani hata kazini.

Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea.

kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Mkuu unapoishi kuna Watu wa kutoka West Africa wamekuroga ndio maana haupo sawa kimwili na wala ki-saikolojia nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona na uwatandike maaduwi zako mpaka waje kukuomba msamaha kwa yale waliyokufanyia uchawi. Uguwa pole mkuu.
 
Hao majirani zako wanaotoka west Africa hasa nigeria,ghana ndo chanzo.

Cha kukushauri hama huo mtaa na kama una contact zao futa kabisa na block
Nimefikiri hivyo hivyo
 
Kbsaa sijui nin kimempata na ameshindwa kuweka wazi
The man is a secret agent for clandestine covert operations, this story was a real assassination mission directed to someone. The motive behind is the Land dispute between the one of the Regional/Zonal tiss official his names initials are ADM versus someone (the real identify of that person is withheld for now).
I got this information from the credible & Confidant source within the organization), it is the confirmed information about the mission.
 
The man is a secret agent for clandestine covert operations, this story was a real assassination mission directed to someone. The motive behind is the Land dispute between the one of the Regional/Zonal tiss official his names initials are ADM versus someone (the real identify of that person is withheld for now).
I got this information from the credible & Confidant source within the organization), it is the confirmed information about the mission.
Je!?, nawe pia ni mmoja wao"
 
Back
Top Bottom