Yanayonikuta London, Uingereza - Part 1

🥺🥺 Pole mkuu Ila ninge shauri unge ludi home kwanza kwa mda Kama Ina wezekana iki wezekana hata kwa kutoloka

huenda umezungukwa na watu mashetani bila kujua wataku poteza mkuu
 
Nje upweke Ni nouma. Ila ukipata k ya kizungu ikakupenda patakuwa patamu mno. Anakupigania kinyama yaani Ile kingese
 
😀
Umenichekesha sana, hebu rudi tuendelee
Unasema unafanya kazi hospitali, kitengo gani ?
 
🥺🥺 Pole mkuu Ila ninge shauri unge ludi home kwanza kwa mda Kama Ina wezekana iki wezekana hata kwa kutoloka

huenda umezungukwa na watu mashetani bila kujua wataku poteza mkuu
Nunua Toka UK weka episode 2 basi
Huyo yupo hapa hapa Tanzania, alichoandika ametumia tu Fasihi ili kufikisha ujumbe lakini ukweli wa hicho alichosema ni kwamba tukio hilo limefanyika hapa Tanzania. Na uwezekano wa huyo mtu kuwa 'Agent wa Wavaa Kaunda suti' ni mkubwa sana, zaidi ya 98% kwa sababu kutokana na matokeo ya utafiti/uchunguzi fulani ambao umefanywa na bado unaendelea kufanyika imethibitika beyond the reasonable doubt kwamba tukio hilo wamelifanya hapa Tanzania ktk mikoa miwili ya Dsm na Migogoro, likiongozwa (Masterminded) na kiongozi wao aitwaye alexander d.m.
 
Mkuu unapoishi kuna Watu wa kutoka West Africa wamekuroga ndio maana haupo sawa kimwili na wala ki-saikolojia nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona na uwatandike maaduwi zako mpaka waje kukuomba msamaha kwa yale waliyokufanyia uchawi. Uguwa pole mkuu.
 
Hao majirani zako wanaotoka west Africa hasa nigeria,ghana ndo chanzo.

Cha kukushauri hama huo mtaa na kama una contact zao futa kabisa na block
Nimefikiri hivyo hivyo
 
Kbsaa sijui nin kimempata na ameshindwa kuweka wazi
The man is a secret agent for clandestine covert operations, this story was a real assassination mission directed to someone. The motive behind is the Land dispute between the one of the Regional/Zonal tiss official his names initials are ADM versus someone (the real identify of that person is withheld for now).
I got this information from the credible & Confidant source within the organization), it is the confirmed information about the mission.
 
Je!?, nawe pia ni mmoja wao"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…