Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Wewe una tatizo. Hao mabeberu unawasingizia tu. Kama huna hela za kutosha na hukuwekeza TZ nakushauri usirudi. Nenda hospitali katibiwe endelea na maisha hukohuko UK.
Kama nina wasingizia. Kwa nini kwenye report ya doctor iwe na mambo ya uongo?
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.

Nadhani pia una tatizo la kisaikolojia. Rudi nyumbani. Na ukiwa sometimes na hilo tatizo unaona wenzio au wengine ndo wanakukosea wewe. Siyo wewe unakosea. Nimekusoma nimeona tatizo ni wewe una msongo wa mawazo. Na hilo kwa maisha ya Uingereza linawakuta wengi tu.
 
Na doctor kuandika mambo y uongo kwenye report yake paranoid

Daktari anaandika "Objective data" yani anachokiona kwako, mwilini na mazingira yako kama kaja kwako na pia anaandika ulichosema "subjective data" sasa kwa ujumla sioni daktari aje kwako kikazi hakujui wala humjui zaidi ya kazi yake aje kukuundia stori. Inakuwaje aandike taarifa za "uongo" against you. Na maelezo yako yote yanaonekana ni ya kufukirika tu, hayapo organized pia, hayana "empirical evidence" ndo maana nakushauri upate ushauri wa Psyche or Psycho utapata msaada. Wabongo bdo tuna stigma sana kwa magonjwa ya akili na hatupo tayari kuchukua hatua ya kutibiwa kwa hiyari mpaka mtu aje apate mental breakdown apelekwe kavua na nguo.

Dalili kubwa za mental problems ni lack of insight (kukataa huumwi, wkt wengine wanakuona una dalili kbs kama members hapa), hallucinations (visual, tactical, na paranoid) then illusions na kwa ujumla maelezo yako yanaconcide kbs na hizi dalili kwa njia moja au nyingine. So madaktari waliokuja kwako wapo sahihi kabisa. Hivi vitu vinatokea sana huku tulipo nci za watu na especially kama unaishi peke yako, huna mke, huna mtoto wala marafiki, so usiogope kuchukua hatua na kukubali unahitaji msaada toka kwa wengine sasa, akili yako ishafikia mwisho.

Chukua hatua kama utataka
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Una tatizo, jitahidi uliwahi kabla halijafika point of no return, na limebakiza hatua chache sana kufikia point hiyo
 
Mkuu komaa hivyo hivyo wataaalamu wataitimisha una ugonjwa wa akili. Hivyo utakaa nyumbani na kulipiwa nyumba na matumizi yako yote. Wakikupa madawa yatupe chooni. Piga kazi pembeni, save money, rudi nyumbani.

Ulaya inahitaji kichwa kigumu kupambana na kutoboa kwenye taasisi, kazi yoyote.
Wacha ujinga wewe.
Una chochote cha kusema kuhusu doctor kuandika report ya uongo.
 
Wewe ni mdogo wake makanyaga bila shaka.mzee wa mkasa wa covid 19.
 
Yapo sana mkuu na tunayasikia kila leo
Dr Harold Shipman unamkumbuka alieuwa kijiji zaidi ya wazee 200
Sikatai haya na kila mahali yapo kuna watu wana roho za kishetani wao wanauwa mpaka vichanga kila leo na kulikuwa na kashfa kubwa ya watoto kutolewa viungo kabla ya kupewa wazazi
Ilikuwa kashfa kubwa sana iliyo
Ila hii ya hapa ni tofauti
Fafanua unamahanisha nini “hii ya hapa ni tofauti”!
 
Usikute ndugu zake huku tz ndio wanampiga kipapai , acha kabisa
Wabongo kwa ulozi wako njema
Sasa we mwache ajichanganye arudi huku ,ataokota Makopo kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata nikioka makopo leo sio kwa ajili ya kipapai! Hizi imani potofu ndio zinaturidisha nyuma.
 
Usiwalaumu hao maana nao ni kama wewe unaweza kukosea vilevile, jaribu kuchukulia mambo katika usawa hata kama waona sio sawa, wewe wekeza nguvu yako na energy yako katika kutatua au kupata namna waweza kujua nini chanzo na tiba ya tatizo lako,

Hayo mengine yatakupotezea energy na rasilimali fedha vile vile . Jaribu hiyo njia niliyokupa huku ukifanyia maboresho kidogo kidogo kuna siku utapata majibu yake, just be patient bra
Mkuu hakuna cha kukosea hapo. Doctor aliuliza, if I believe in black magic. Nikwambia, I don’t believe in black magic… I think it full of bullshit!
Yeye kwenye report akaandika kwamba mimi nimemwambia kwamba watu niliokuwa ninaishi nao kipindi cha nyuma wameniliga. Ambacho sio kweli. Halafu kilichonitia hasira zaidi miezi michache iliyopita kuna watu walitaka kunilisha haya maneno. Nikapinga na pia karibu tukosane.
Baadae wataanza kusema hata kilichotokea wakati ninafanya kazi hospitali ni mimi ndio nilieneza hizo imani potofu. Wakati mimi ndio nilikuwa victim na nika resign.
 
Hiyo Hali unayopitia ni ngumu MTU mwingine kukuelewa, niliwahi pata tatizo kama Hilo nilichogundua kuna mambo yanatokea katika mfumo wakati wengine hayawatokei hivyo ni ngumu kukuelewa, hapo kusema ni ugonjwa WA akili ni Sawa kwa vile unachopitia wengine hawakioni, wewe hama mazingira unayokaa na ujitahidi kufanya yanayokuepusha na ubaya utakaa Sawa tu.
Umenena vema mkuu. Asante
 
Huna tofauti na dr shika ,unaimagine vitu ambavyo havipo,fear for unkown,unahitaji msaada wa kisaikolojia ,dish linacheza linarudi kidogo then linapotea tena
Badala ya kujaza ujinga wako hapa, ungeruka kimya kimya
 
Hata hao wazungu wanakushangaa na hayo maswali yaliulizwa taratibu tena kwa vituo ila hilo wenge lako ndio ulikua unahisi muulizaji yupo spidi anachanga mafaili
Unapoandika “hayo maswali yaliulizwa taratibu”. Ulikuwepo wakati akiuliza hayo maswali. Ficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom