Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Kuna namna Kwa kweli- story imechanganya na dish kuanza kuyumba… msaada wa haraka unahitajika…electric wavelength mtu anatumiwa…?hii huwa naisikia tu Kwa wanaoamini uchawi. Doctors kazi munayo…
Soma vizuri nilichoandika. Nimesema, feels like electrical shock and sharp needle pain. Lazima zitakuwa some sort of waves lakini sijui ni waves za aina gani.
 
Kesi yako ni ugonjwa wangetaka usingeweza hata kujibishana humu
Kusema docta ameandika mambo ya uongo kwenye report. Hii ipo kwenye makaratasi. Sio nina jisemea tu na nilipo ongea nae kwenye simu alisema atabadilisha. Lakini nikamjukisha kwa ni file malalamiko kwa sababu asingeandika mambo ya uongo.

Kuna watu walishanionya kuhusu kuendelea kulala electrical shock-like. Jamaa akawa anionya nitapoteza maisha nikijifanya mjuhaji na mwingine nikwambia siogopi nikaendelea kulalamika akakimbia.
Nenda hata private hospital ukatibiwe
Zipo top hospital Harley Street london ila bei zake uwe umejipanga haswa
Nilimpeleka mwanangu
Consultation tu ilikuwa £400
Matibabu yoyote utakayo pata NHS ndio hayo hayo utakayo pata Harley Street. Ma doctor asilimia kubwa ni hao hao wanaenda kufanya private extra hours.
Tofauti ni muda. NHS utakuwa kwenye waiting list kwa muda mferu. Ukienda A&E utachomeshwa mahindi masaa kadhaa kabla ujamwona doctor. Hiki ndio wanachoepuka wenye pesa wanaona bora waende private na wapate huduma haraka haraka kuepuka karaha za kusubiri.

Mimi nilishawahi kwenda clinic moja Harley Street miaka kama 17 iliyopita. Kifaa walichotaka kuniuzia kipindi iko nadhani ilikuwa kama £3000. Sasa hivi kifaa iko iko unapata Ebay sio zaidi ya £200
 
Mfano jamaa ameshindwa kujua kwanini wale madoctor walitaka kumuoji hakiwa chumbani kwake ? Kuna kitu walikuwa wanachunguza bila ya yeye kujua.
Ofisi ni kwamba kuna uwezekano wa watu wengine kusikia na chumbani hakuna. Na huo ni unamuzi wa patient. Mimi nilipojulishwa kwamba doctors wapo reception. Akaniuliza kama nina taka waje chumbani au ofisi downstairs, nikasema ofisi. Lakini nilipofika reception, doctor akanishawishi tufanyie chumbani. Nikaona hakuna tatizo lolote.

Wewe unahisi ni kitu gani walikuwa wanachunguza!
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Ndugu hauko sawa kifikra, mawazo na akili. Na kama unaonwa na daktari, nafikiri wanaokuzunguka wameshajua kuna mambo hayako sawa juu yako. Nachelea kudhani ya kuwa utanichukulia na mimi ni moja wao. Kama una WaTz karibu washirikishe ili angalau wasimamie kwa kiasi fulani yanayojiri kuliko kufanya mambo kivyako na hao wazungu.
 
Huyo dokta umemtengeneza kichwani kwako kwenye stori yako, hakuna dokta anakufata nyumbani kwako UK
Wewe una msongo wa kukamatwa na kurudishwa unatengeneza mbaambaa, rudi tu nyumbani kumenoga
Wewe kiazi kweli….
You didn't even use Google before making that stupid comment.
If you had googled. You could have found different pathways. For instance, Home treatment teams. Even GPs can make home visits, but it depends on your circumstances. Some rapid response teams also have doctors.
 
Ndugu hauko sawa kifikra, mawazo na akili. Na kama unaonwa na daktari, nafikiri wanaokuzunguka wameshajua kuna mambo hayako sawa juu yako. Nachelea kudhani ya kuwa utanichukulia na mimi ni moja wao. Kama una WaTz karibu washirikishe ili angalau wasimamie kwa kiasi fulani yanayojiri kuliko kufanya mambo kivyako na hao wazungu.
Mimi nina doctor wangu wa miaka mingi (GP). Nanilisha mweleza matatizo yangu.
Huyu doctor ni mara yangu ya kwanza kukutana nae na pia team aliyotokea. Na assessment ilikuwa ya muda mfupi.
Tatizo langu na huyu doctor ni kuandika uongo kwenye report na amendika mambo ambayo sijamwambia. Na kutaka ku justify yanayoendelea ni makosa yangu
 
Wewe ni mwehu
Naijua NHS nje ndani usilete upupu wako humu kuaminisha waporipori ili kupata sympathy ya kichawi
Wewe ni kiazi…
Unasema unahijua NHS halafu umeandika hivi “hakuna dokta anakufata nyumbani kwako UK”. Na HOME TREATMENT TEAM ni nini?
You just tell you don't know shit about NHS without actually telling me!!
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Visit a psychiatrist or a psychologist, kwa hii post yako surely kuna kitu hakiko sawa.
 
Namaanisha wewe ni mtanzania Sasa unalia Lia nini kwenye nchi za watu na kwenu kupo ?
Ndiyo maana nasema rudi haraka nyumbani sisi hatuwezi kuvumilia kuendelea kukuona unalalamika mauza uza alafu uko kwa watu si ni kututia aibu huko ?
Kwamba hata kama 'network' yake inayumba Tanzania ndiyo kuna doctors na medical facilities bora kuliko England? Kurudi TZ si suluhisho tena itakuwa ndiyo anazidi kujididimiza, bora apambanie afya yake(mental or physical or both) akiwa hukohuko.
 
Kwamba hata kama 'network' yake inayumba Tanzania ndiyo kuna doctors na medical facilities bora kuliko England? Kurudi TZ si suluhisho tena itakuwa ndiyo anazidi kujididimiza, bora apambanie afya yake(mental or physical or both) akiwa hukohuko.
Kuna ma Psychiatrist wa JF wanasoma post na wana ku diagnosed!! Lakini hawawezi kukuonyesha tatizo lipo wapi kwenye posti yako.
 
Mleta mada una viashiria vya "waraibu"....WANAO ENDELEA KUPATA NAFUU( tamka nafoo)... 🤪
 
Back
Top Bottom