Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka animalize.

Hata kwenye the telegraph wame mention kuhusu ku falsifying information na pia ku hire private investigator
Link: NHS bosses destroy careers of whistleblowers who stand up to protect patients’ lives
View attachment 3106830
View attachment 3106844
Na pia the Guardian and wamegusia kuhusu Cover -up ndani ya NHS.
Link: As a doctor, I’m no apologist for Wes Streeting – but here's where he's right about the NHS | Rachel Clarke
View attachment 3106838
kwenu ni masikini kiasi gani hadi ung’ang’anie Uk london??
 
kwenu ni masikini kiasi gani hadi ung’ang’anie Uk london??
Mimi nimeishi hapa zaidi ya nusu ya muda wangu. Kwa maana maneno mengine nimeishi UK muda mrefu zaidi ya nilivyoishi Tanzania. Nilikuwa nimeshajenga maisha yangu hapa. Na kubwa zaidi nina watoto hapa. Haya yalioyotokea yameanza miaka ya karibuni.
 
Rudi home utibiwe mkuu ushapigwa jini baya sana.....

Wazungu hawana ubaguz huo sema wew ndo upo na shida mkuu may be Black magic inakusumbua.......
Kwani wale ni malaika acha uduwanzi mkuu.
 
Waliofuata nyumbani ni madaktari wa kawaida au wa magonjwa ya akili na therapists?
Ni muhimu utoe majibu ya maswali haya.Kama ni Home Treatment
Team madaktari waliokuja wame specialize kwenye magonjwa yapi?Kama ni magonjwa ya akili jiulize kwanini?Yaani ilitokea tu wakaja kwako bila historia ya tatizo lako?
Just thinking loudly.
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka animalize.

Hata kwenye the telegraph wame mention kuhusu ku falsifying information na pia ku hire private investigator
Link: NHS bosses destroy careers of whistleblowers who stand up to protect patients’ lives
View attachment 3106830
View attachment 3106844
Na pia the Guardian and wamegusia kuhusu Cover -up ndani ya NHS.
Link: As a doctor, I’m no apologist for Wes Streeting – but here's where he's right about the NHS | Rachel Clarke
View attachment 3106838
Give me the hints; Are you not among of the inner circle of ADM,a former ZSO and now the RSO in one of the strategic Region ???? Be frank please.

Because all of your Codes are intact with the issue that relates to that person. That is not an alternative way to express that ongoing the clandestine covert ops?

Your story just goes with conformity to the story of the above-mentioned person. Let me dig more deeper and deeper. I will be back here again in the future coming days.
 
Una maradhi ya akili ila inarudi inakataa
London ipi hiyo unaishi
Hospital watu wanaenda ila labda uliingia kwenye anga zao
Network sio nzuri, bullying sio sbb ya ww kupata hayo matatizo, una matatizo ya akili ndio yanaanza, toka UK rudi kwenu

No, bado hamjamuelewa Mleta mada.
Mtu huyo ameamua kutumia njia hii ili kuweka wazi masuala ambayo kwa mujibu wa maadili ya viapo vyao huwa hayapaswi kuwekwa wazi, isipokuwa tu kwa kutumia Codes au kwa kutumia njia ya kuisukasuka habari kama hivi alivyofanya. The Art of the Black Magic!
 
Hapa utakesha
Kutaja Home treatment Team umedhihirisha wewe ni mwehu, hiyo team ni kwa ajili ya vichaa
Wewe ni mwehu unawapanga humu, ulitakiwa uwe kwenye mental asylum BEDLAM, ushafahamu

View attachment 3107377
Tabia ya viazi ni kuhamisha magoli. Wewe uliandika hivi, “Naijua NHS nje ndani usilete upupu wako humu kuaminisha waporipori”. Halafu ukaendelea kuposti hivi “hakuna dokta anakufata nyumbani kwako UK”. Hii imethirisha una tabia za kujifanya unajua. Kama ungekuwa unajua NHS nje ndani, usingeposti huo upupu.

Nikakuelimisha kwamba doctor wa NHS anaweza kuja nyumbani. Nikakupa mfano wa Home treatment team na Baadhi ya Rapid Response.
Hakuna sehemu nimesema nipo under Home Treatment team. Na nilisema huyo doctor nimekutana naye mara moja kwa ajili ya hizo shocks na assessment ilikuwa niya muda mfupi.
Halafu unaonekana una dharau sana watu wenye magonjwa ya akili. Na hii tabia pia ipo kwa Watanzania wengi. Wakipishana na mtu kioja anarukia ni kichaa.
Na hii ndio inachangia Watanzania wengi kuogopa ku seek for help pale wanapokuwa na tatizo la afya ya akili.
Angalia hapa chini wenzetu walivyo wawazi:

Prince Harry sharing his mental health struggles deserves our compassion, not criticism​

Link hapa: Prince Harry sharing his mental health struggles deserves our compassion

Prince William's mental health crisis: Duke reveals how he was engulfed by a dark cloud of depression after his air ambulance dash to accident involving a boy close to George's age left him feeling 'like the whole world was dying'​

Link hapa: Prince William reveals mental health crisis in frank new podcast
 
Waliofuata nyumbani ni madaktari wa kawaida au wa magonjwa ya akili na therapists?
Ni muhimu utoe majibu ya maswali haya.Kama ni Home Treatment
Team madaktari waliokuja wame specialize kwenye magonjwa yapi?Kama ni magonjwa ya akili jiulize kwanini?Yaani ilitokea tu wakaja kwako bila historia ya tatizo lako?
Just thinking loudly.
Huyo doctor nimekuta naye mara moja na kwa muda mfupi. Chanzo ilikuwa ni hizo eletrical shock- like na sharp needle pain.
 
Give me the hints; Are you not among of the inner circle of ADM,a former ZSO and now the RSO in one of the strategic Region ???? Be frank please.

Because all of your Codes are intact with the issue that relates to that person. That is not an alternative way to express that ongoing the clandestine covert ops?

Your story just goes with conformity to the story of the above-mentioned person. Let me dig more deeper and deeper. I will be back here again in the future coming days.
I can assure you that I am none of those.
 
Huyo doctor nimekuta naye mara moja na kwa muda mfupi. Chanzo ilikuwa ni hizo eletrical shock- like na sharp needle pain.
Hiyo Hali yako jitahidi uanze kurudisha afya yako ya mwili ikae Sawa, watu hatakuelewa kabisa maana hawapitii ulichopitia, huko polisi pia wanaweza kuwa wanakufatilia baada ya kuripoti wakataka kujua nini kilikupata, ni kitu ambacho huwezi kukielezea watu wengine wakakuelewa maana nadhani Huo mfumo ulivyotumwa uliwafikia watu wachache hivyo wengine hawakuhisi chochote, ni mfumo unatrack background yako na mahusiano yako na dini, watu unaowafahamu, na inakuletea vitu vyako vyote kupitia mfumo unaoitwa mind reading, yaani ni shida Sana cha kufanya jitahidi uondoe makosa pale ulipokuwa unapitia ni vitu gani uliharibu na mahusiano yako uliyoharibu, Huo umeme ndo unakujulisha walihack mind yako ikaanza kuwa controled, jitahidi kurudisha mambo yako Sawa maana hata ukimbia huko utajikuta ni mfumo tu ulitumika kukuwekea believe yao waliyotaka uipate na siyo kukufatilia, na ndo maana wengi wanadhani ni ugonjwa WA akili lakini siyo Bali ni kitu kinapita kuchukua mind reading za watu so inategemea kilikukutia wapi.
 
Hiyo Hali yako jitahidi uanze kurudisha afya yako ya mwili ikae Sawa, watu hatakuelewa kabisa maana hawapitii ulichopitia, huko polisi pia wanaweza kuwa wanakufatilia baada ya kuripoti wakataka kujua nini kilikupata, ni kitu ambacho huwezi kukielezea watu wengine wakakuelewa maana nadhani Huo mfumo ulivyotumwa uliwafikia watu wachache hivyo wengine hawakuhisi chochote, ni mfumo unatrack background yako na mahusiano yako na dini, watu unaowafahamu, na inakuletea vitu vyako vyote kupitia mfumo unaoitwa mind reading, yaani ni shida Sana cha kufanya jitahidi uondoe makosa pale ulipokuwa unapitia ni vitu gani uliharibu na mahusiano yako uliyoharibu, Huo umeme ndo unakujulisha walihack mind yako ikaanza kuwa controled, jitahidi kurudisha mambo yako Sawa maana hata ukimbia huko utajikuta ni mfumo tu ulitumika kukuwekea believe yao waliyotaka uipate na siyo kukufatilia, na ndo maana wengi wanadhani ni ugonjwa WA akili lakini siyo Bali ni kitu kinapita kuchukua mind reading za watu so inategemea kilikukutia wapi.
Kuna swali watu wawili wameniuliza. Mmoja ni huyo doctor na kabla ya hapo niliulizwa na mtu mwingine. Nimebaki nikijiuliza kwa nini wameniuliza!
Nimekusoma!
 
No, bado hamjamuelewa Mleta mada.
Mtu huyo ameamua kutumia njia hii ili kuweka wazi masuala ambayo kwa mujibu wa maadili ya viapo vyao huwa hayapaswi kuwekwa wazi, isipokuwa tu kwa kutumia Codes au kwa kutumia njia ya kuisukasuka habari kama hivi alivyofanya. The Art of the Black Magic!
Vunga Kaka ndiyo maana Mimi na yeye tushapanga kusaidizana hapo jumamosi nitakapo mrejesha hapa nyumbani specifically kaskazini .
 
Vunga Kaka ndiyo maana Mimi na yeye tushapanga kusaidizana hapo jumamosi nitakapo mrejesha hapa nyumbani specifically kaskazini .
Mmmhh! No.

Mkasa wa jambo hili umekuwa ukifuatiliwa kwa karibu zaidi tangu muda mrefu Sana. Tayari taarifa za kutosha zimepatikana, kazi Kama tayari imeahafikia hatua Kama ya 90% hivi.
So, I can't buy your idea.
Endapo kama ningekufahamu wewe binafsi japo kwa 50% tu, ningekutumia sehemu ya taarifa ili ujionee wewe mwenyewe na ili upate kufahamu sababu za kwa nini Mimi nimekuwa niki-respond kwa namna hiyo ninayo-respond.
 
Binafsi nimeelewa sana ulicho kiandika kwamtu anae kurupuka hawezi kukuelewa.
Ngoja badae kidogo nintakuja kwaushauli wangu pia.
 
Kwanini iwe wewe tu? Kwan london nzima uko wewe tu mkuu mpaka wakuandame namna hiyo??
Jaribu kuhama bas sogea mahala pengine au nchi nyingine
 
Pole sana mkuu dahh!!.. Haiwezekani kuja kufanyia kazi homeland au sehemu nyingine??? Why you then???

Wasije kukutoa roho huko!


"Go East go west home is best"



Cc Smart911
 
Back
Top Bottom