babayah67
JF-Expert Member
- Mar 28, 2008
- 493
- 79
Ndugu wana JamiiForum
Toka kuanza kwa vikao vya Bunge la katiba hadi leo hii tumeshuhudia yale yote aliyokuwa akiyasema Prof SHIVJI wakati nchi ikiwa kwenye maandalizi ya katiba mpyaa.
Katika Mhadhara wake wa kwanza juu ya masuala ya katiba mpyaa uliofanyika Nkhuruma Hall hapo Mlimani, Prof Shivji alipinga saana dhana ya wabunge waliopo bungeni sasa kuingia katika bunge la katiba kwa nyadhifa zao. Haya yanayotokea sasa ndio hayo tuliyoelezwa, lakini kwa upofu wa viongozi wetu wakapuuza ushauri wa nguli huyu wa Sheria.
Kinachotokea ndio matunda ya ubishi. Mabishano tulokwisha yaona hadi sasa katika kupitisha tu rasimu ya kanuni za kuendesha bunge sote tumeyashuhudia, sijui hali itakuwaje huko Mbele Rasimu ya Katiba itakapoanza kujadiliwa??? Ni dhahiri tutashuhudia mengi!!!!!
TUJIFUNZE KUKUBALIANA NA USHAURI WA WASOMI WETU, ITATUEPUSHIE MIGOGORO ISOKUWA NA LAZIMA!!!
HONGERA PROF SHIVJI, NAONA HUKO ULIPO UNAPOSHUHUDIA YANAYOTOKEA DODOMA UNATABASAMU KWA FURAHA
Toka kuanza kwa vikao vya Bunge la katiba hadi leo hii tumeshuhudia yale yote aliyokuwa akiyasema Prof SHIVJI wakati nchi ikiwa kwenye maandalizi ya katiba mpyaa.
Katika Mhadhara wake wa kwanza juu ya masuala ya katiba mpyaa uliofanyika Nkhuruma Hall hapo Mlimani, Prof Shivji alipinga saana dhana ya wabunge waliopo bungeni sasa kuingia katika bunge la katiba kwa nyadhifa zao. Haya yanayotokea sasa ndio hayo tuliyoelezwa, lakini kwa upofu wa viongozi wetu wakapuuza ushauri wa nguli huyu wa Sheria.
Kinachotokea ndio matunda ya ubishi. Mabishano tulokwisha yaona hadi sasa katika kupitisha tu rasimu ya kanuni za kuendesha bunge sote tumeyashuhudia, sijui hali itakuwaje huko Mbele Rasimu ya Katiba itakapoanza kujadiliwa??? Ni dhahiri tutashuhudia mengi!!!!!
TUJIFUNZE KUKUBALIANA NA USHAURI WA WASOMI WETU, ITATUEPUSHIE MIGOGORO ISOKUWA NA LAZIMA!!!
HONGERA PROF SHIVJI, NAONA HUKO ULIPO UNAPOSHUHUDIA YANAYOTOKEA DODOMA UNATABASAMU KWA FURAHA