YANGA 1 AL AHLY 0 CAFCL 2014

Mpira sio historia mpira ni achievement mpaka leo mna 0.5 kama radius of the sphere mnazidiwa point mpaka na namungo na biashara licha ya kushiriki miaka yote hyo badala mtengeneze team ya ushindani mmebaki historia tu na majungu.
Mnywa uji haelewi hilo.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mpira sio historia mpira ni achievement mpaka leo mna 0.5 kama radius of the sphere mnazidiwa point mpaka na namungo na biashara licha ya kushiriki miaka yote hyo badala mtengeneze team ya ushindani mmebaki historia tu na majungu.
Point hazikusaidii kubeba kombe, hazina maaana yoyote kama hujabeba kombe.
Ata uwe na point 50,000 kama huna kikombe hakuna mtu atakuheshim.
 
Kwa sasa haisaidii. Tuandae timu kwa ajili ya mashindano yajayo
 
Anatafutiza historia za utopoloni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameshikwa pabayaaaa, woiiiiiiiih.

Byuti byuti.
 
Anatafutiza historia za utopoloni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameshikwa pabayaaaa, woiiiiiiiih.

Byuti byuti.
inawauma maana mnaongopeana na wachambuzi wenu wa mchongo kuwa Simba imefanya makubwa wakati Yanga kitambo tu mambo hayo
 
Makopo ya mo,hasa ya enzi za azam tv, yatakuja fasta kukutupia kejeri
 
inawauma maana mnaongopeana na wachambuzi wenu wa mchongo kuwa Simba imefanya makubwa wakati Yanga kitambo tu mambo hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uongo wenu unawasaidia nn? Km unaumia vimba hadi upasuke lol.
 
Mpira sio historia mpira ni achievement mpaka leo mna 0.5 kama radius of the sphere mnazidiwa point mpaka na namungo na biashara licha ya kushiriki miaka yote hyo badala mtengeneze team ya ushindani mmebaki historia tu na majungu.
Wenzako wanatafta kombe wewe unatafta points
 
KAMA KUNA TIMU YOYOTE IMEWAHI KUIFUNGA AL AHLY basi wajue ni marudio tu WANANCHI wamefanya hayo kitambo sana
Ahaa, kumbe kitambo sana! Wenzenu wanafanya kila wanapokutana nao, tena sio kitambo, miaka mitatu tu iliyopita wamewaua mara mbili. Hebu turudi kwenye mjadala wa jezi mpya
 
Point hazikusaidii kubeba kombe, hazina maaana yoyote kama hujabeba kombe.
Ata uwe na point 50,000 kama huna kikombe hakuna mtu atakuheshim.
Utachukuaje kombe bila kupitia hzo hatua unaona simba haanzi hatua ya awali hio ndo achievement sasa kombe la CAF champion's league unategemea kuchukua msimu mmoja ile ni project kama unavyoona world cup .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…