Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Tukiendelea na hekaheka za kombe la dunia pia Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwenye dimba la Benjamin Mkapa ambapo Yanga anaikaribisha Mbeya City.
24' ⚽ Yanga inatangulia kwa goli lililofungwa na Fiston Mayele.
33' Moloko anajaribu lakini beki wa Mbeya City anaweka mguu na mpira unabadili mwelekeo. Yanga wanapata kona isiyoleta matokeo.
37' 🟡 Kayoko anamlambisha kadi ya njano Joseph kwa kumshusha chini Kibwana Shomari
38' Tuisila Kisinda anawekaaa mpira nyavuni, refa anapuliza kipenga kuashiria sio goli.
44' Mbeya city wanaingiza krosi maridadi na kumpita Diarra lakini shuti linapaa juuuu
45+2' Mapumziko
49' Mpira umerejea kutoka mapumziko na unachezwa zamu kwa zamu
78' ⚽ Mayeleeeeee, anamalizia krosi maridadi kutoka kwa Moloko. Yanga 2-0 Mbeya City
90' Mpira unatamatika dimba la Benjamin Mkapa. Keki yenye namba 49 inatawala uwanjani
24' ⚽ Yanga inatangulia kwa goli lililofungwa na Fiston Mayele.
33' Moloko anajaribu lakini beki wa Mbeya City anaweka mguu na mpira unabadili mwelekeo. Yanga wanapata kona isiyoleta matokeo.
37' 🟡 Kayoko anamlambisha kadi ya njano Joseph kwa kumshusha chini Kibwana Shomari
38' Tuisila Kisinda anawekaaa mpira nyavuni, refa anapuliza kipenga kuashiria sio goli.
44' Mbeya city wanaingiza krosi maridadi na kumpita Diarra lakini shuti linapaa juuuu
45+2' Mapumziko
49' Mpira umerejea kutoka mapumziko na unachezwa zamu kwa zamu
78' ⚽ Mayeleeeeee, anamalizia krosi maridadi kutoka kwa Moloko. Yanga 2-0 Mbeya City
90' Mpira unatamatika dimba la Benjamin Mkapa. Keki yenye namba 49 inatawala uwanjani