ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Biashara nguvumojaNi Yanga Sc Dhidi Ya Biashara United Kutoka Mara. Mchezo huu ni Saa 1 jioni Ya leo, ikiwa bado masaa matatu kuelekea mchezo huu, Naendelea kutafuta Hela Ili niipie Ahadi ya Tsh 10M kama Biashara wakitoa Droo na Yanga Sc.
Leo, Biashara United Ataweza Kumsimamisha Yanga Sc? Kama alivyo fanya kwa Mnyama Simba? Tusubiri Dakika 90
Tuwe hapa pamoja.
Biashara nguvumojaNi Yanga Sc Dhidi Ya Biashara United Kutoka Mara. Mchezo huu ni Saa 1 jioni Ya leo, ikiwa bado masaa matatu kuelekea mchezo huu, Naendelea kutafuta Hela Ili niipie Ahadi ya Tsh 10M kama Biashara wakitoa Droo na Yanga Sc.
Leo, Biashara United Ataweza Kumsimamisha Yanga Sc? Kama alivyo fanya kwa Mnyama Simba? Tusubiri Dakika 90
Tuwe hapa pamoja.
Mechi ya Utopolo na Biashara ipatikane milioni 200?Mama-e zenu Bodi ya Ligi Acheni upuuzi kuweka mechi saa 1 usiku wakati siku nzuri ka leo Uwanja wa Ben Mkapa ungejaaa na Wananchi FC angevuna Nil 200+M za Mlangoni. Lkn kwa Upuuzi wenu wa kuweka gemu usiku hata 80M hazitafika
Ni Yanga Sc Dhidi Ya Biashara United Kutoka Mara. Mchezo huu ni Saa 1 jioni Ya leo, ikiwa bado masaa matatu kuelekea mchezo huu, Naendelea kutafuta Hela Ili niipie Ahadi ya Tsh 10M kama Biashara wakitoa Droo na Yanga Sc.
Leo, Biashara United Ataweza Kumsimamisha Yanga Sc? Kama alivyo fanya kwa Mnyama Simba? Tusubiri Dakika 90
Tuwe hapa pamoja.
Tuombe refa wa leo awe bachelor, ila kama ana familia na huu ndio mwisho wa mwaka ambapo watoto wanahitaji madaftari, mikoba, sare, na hela ya sikukuu kwa ajili ya mwaka mpya itakua ni ngumu kuepuka vishawishi na sio rahisi utabiri wako kutimiaLeo Biashara anapata point 3 kila lazima
Alijua watu watachukulia poa na watajadili maswali ya update hawawezi kuangalia upotoshajiMechi ya Utopolo na Biashara ipatikane milioni 200?
Ili upate hiyo pesa inabidi waingie watu 40,000 kwa kiingilio cha 5,000/=
Je, ni hakika wangeingia hao watu?
Usiwe na hofu leo Uto kupigwa lazimaTuombe refa wa leo awe bachelor, ila kama ana familia na huu ndio mwisho wa mwaka ambapo watoto wanahitaji madaftari, mikoba, sare, na hela ya sikukuu kwa ajili ya mwaka mpya itakua ni ngumu kuepuka vishawishi na sio rahisi utabiri wako kutimia
Labda mechi ya leo refa awe bahkresa
We kolo hebu tulizana hapo kwenye sofa la shemeji yako uone wananchi wanavotandaza kabumbu maridadiLeo Biashara anapata point 3 kila lazima